Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,756
Haulazimiki kubeba mzigo ambao si wako.. Hilo ni jambo la hiyari.. Sikiliza moyo wako..
Mkuu ungejiuliza kidogo kwanza maswali haya,huyo shemeji yake aliyempa mimba huko wapi? Je upande wa mume wa shemeji kwanini wasimchukue? Au kwanini asimpeleke kwa mama yake au mama mkwe? Kusema nayeye alileta mtoto ambaye ni damu yake kabisa kufananisha na hii case ya shemeji hapana.Yaani anajifanya mjanja wakati wakwake analelewa na mkewe, anamtafutia manyanyaso huyo mwanaye
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado inauma kumuacha mtt mdogo hivyo. Tena kama chuo kuna option ya kuhairisha mwaka au siku hizi hakuna hizo kitu?Best wangu aliacha mtoto wa mwezi mmoja kwenda uni, lakini yeye alimuoa has kwa baba na mama yake. Alipata mimba akiwa jeshini matokeo Yamato’s alikua na div 2 PCB
zipo sana... By the way chuo mbona wengi wana familia zao, wapo wenye vichanga wanapiga shule km kawaida...Bado inauma kumuacha mtt mdogo hivyo. Tena kama chuo kuna option ya kuhairisha mwaka au siku hizi hakuna hizo kitu?
Hili lijamaa lenyewe limegegeda demu asiyejielewa. Jamaa nalo halijielewi libogus tuWasichana wa sikuhizi hata hawajielewi anagegedwa na kijana ambaye maisha hayaeleweki anadanganywa hadi anaenda siku za hatari akipigwa mimba akili inamuisha
Halafu wengi wanamuunga mkono.Kwa hiyo ndiyo ujisifie na kutangaza dhambi zako kama vile kitu chema?
Ndivyo ulivyofundishwa hivyo? Hukufundishwa kuwa ikitokea bahati mbaya ukafanya dhambi basi urudi haraka na kufanya toba kwa Mungu wako?
Ma mkwe mgonjwa, uzee umemtinga,,, kumpelekea kichanga ni km haiwezekanikwani hakuna ndugu mwingine mfano bibi wa huyo mtoto yuko wapi? i mean mama wa mkeo, kwanini asipekelewe kichanga akalea, nazani utuambie zaidi ili tujue jinsi ya kutoa msaada wa mawazo zaidi
Hili suala la kumpelekea bibi alee mtoto na wazazi mpo mnajiweza na nguvu zenu huwa silielewi. Kwanini muwatese mama zenu muda wa yeye kupumzika uzeeni hakuna.kwani hakuna ndugu mwingine mfano bibi wa huyo mtoto yuko wapi? i mean mama wa mkeo, kwanini asipekelewe kichanga akalea, nazani utuambie zaidi ili tujue jinsi ya kutoa msaada wa mawazo zaidi
Wamemuonea kufanya uzinzi?Mtoto wa mwezi jamani. That's so unfair. Wamekuonea big time
Mkuu tatizo lako ni dogo tu, umefunga ndoa kwa mtindo wa HISA. Mkeo ana asilimia 50 na wewe 50. Badala ya kuleta msaidizi umeleta mwanahisa, endelea kulipa gharama.Habar za muda huu wanajamvi. Nitaeleza kwa kifupi.,
Kama tujuavyo mabaharia tunapita na wengi kimasihara, sasa Ktk ptpt zangu nikapata zawadi ya mtoto nje ya ndoa, mama wa uyu mtoto hana maisha ya kueleweka yupo yupo yani kimasihara, ni mtu ambaye yan ht ukiamua umwezeshe kimaisha hawezi., mambo mengi muda mchache.. kwa hiyo mimi kama baba wa uyu mtoto nikamsoma mapema hawezi kumlea mwanangu.
Nikamwambia wife everything going on, hali ilikua tete bt baadae ilibidi tu anielewe, nikamchkua mtoto akiwa na mwaka tu. na mama wa mtoto ye hana hbr yan ndo kwanza nilivomwambia akaona nampunguzia mzigo.
Mtafaruku umeanza pale shemeji wa mimi mdogo wa mke wangu anataka atuachie kichanga cha mwezi mmoja kwa kigezo anaenda kuendelea na masomo ya chuo yaani kwa kifupi kitoto kinamtinga akiwa masomoni. Kapata backup toka kwa dadaye ( mke wangu) kwamba ni sahihi aache huyo mtoto yy akapige shule.
Nilipokataa kwa busara tu za kawaida kwamba mamaye yupo haumwi na kitoto bado kidogo mno, ndipo nilipogeuka adui wa kila mtu si mke wangu, si mashemeji wote wananiona mimi sitaki kutoa msaada wa malezi ya ndugu wa mke..
Mke wangu nae ananikumbusha khsu uyu mwanangu nliempata nje ya ndoa kila ninapinga hili swala. Juzi kanijibu mbovu nikashindwa kujizuia nikampa kibano cha haja kidogo, hadi saivi yupo kwao...
Mabaharia wenzangu, dada zangu na mama zangu wazoefu wa maisha ya ndoa nipeni mwongozo, uhusiano na ndugu wa mke kwa sasa ni mbaya sana.,.
Je ni ubinafsi wangu ndo unaosababisha huu mgogoro? Niumalize huu mgogoro vipi.? Nikipokee kichanga kwa kigezo tu cha mamaye kusoma?
Ma mkwe mgonjwa, uzee umemtinga,,, kumpelekea kichanga ni km haiwezekani
Mtoto mpumbavu ni mzigo wa ***** my dearHili suala la kumpelekea bibi alee mtoto na wazazi mpo mnajiweza na nguvu zenu huwa silielewi. Kwanini muwatese mama zenu muda wa yeye kupumzika uzeeni hakuna.
Kalea watoto wake kamaliza hlf muwapelekee wa kwenu. Tuache hizo jamani labda iwe sababu ya msingi sana.
.
.
Mama yangu atanitoa mbio kumuachia mtoto sijui naanzia wapi loh
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili lijamaa lenyewe limegegeda demu asiyejielewa. Jamaa nalo halijielewi libogus tu
Mjini kuna mambo.Huo mzigo asithubutu kuubeba, huyo shemeji yake yeye kazalishwa na vijana wapaka scrub hawajui majukumu yao?
Achana na hayo majukumu mzee sio yako kabisaBinafsi simjui, yaaani kazalishwa nae kimasihara tu., baba atakua haeleweki..