Kula tunda kimasihara kunavyoigarimu ndoa yangu

Kula tunda kimasihara kunavyoigarimu ndoa yangu

Mkeo kama kataka kubali ajionee mwenyewe mtoto mchanga kama si wako kulea ilhal mamake yupo yataka moyo labla kama anamoyo kama wa Bi Halima
 
Pole sana
Kwanza mtoto wako wa nje ungempeleka kwenu ili alelewe kumpa mkeo kumlea ni hatari sana anaweza wekewa hata dawa
Kingine kataaa kulea mtoto wa shemeji yako ukiendelea na msimamo atajua kuwa yy. Ndio ana makosa
 
Halafu wengi wanamuunga mkono.
Ndoa na iheshimiwe na wote.
Ndiyo maana ndoa za siku hizi hazidumu.

Huyu mleta mada kujisifu na kumletea mtoto wa nje ya ndoa mkewe amlee si ndiyo yeye mwenyewe tayari hapa kampa mkewe tiketi ya kwenda kuigawa nje.

Watu kama huyu ndiyo mwisho wa siku wanabambikiwa kulea watoto si wao na yenyewe inachekelea tu.

Huu niliousoma hapa ni ujinga wa hali ya juu, katika maelezo yote aliyoyaandika humu, nini cha kumzuwia mkewe na yeye asiigawe?
 
Mkeo kama kataka kubali ajionee mwenyewe mtoto mchanga kama si wako kulea ilhal mamake yupo yataka moyo labla kama anamoyo kama wa Bi Halima
Hapo huyo mkewe anafanya kusudi tu, anafanya istihizai, kama mume kaweza kumletea mtoto wa nje ya ndoa, ambae si wake kabisa, kwanini yeye asilete mtoto wa mdogo wake akamlea?

Na anapokataa ujuwe sasa huyo mwanamke ataigawa nje na kumletea aanze kulea mimba mpaka mtoto ambae si wake.

Hili ni wazi kabisa.
 
Kamanda.


1. Usikubli kabisa uendeshwa na remote ya ukweni. Ni balaa sana.


2.Kwani mtoto anakaa kwajo kwa.bili yako mwenyewe? Je nkeo hana nguvu ya kumsupport. Binafsi kwa eneo hilo huwa siliingilii sana maana pia lina kamchezo ka kukunufaisha wewe mwishoni....unakuwa the supreme na unaishi maisha uyatakayo....huhojiwi sana
 
kwani hakuna ndugu mwingine mfano bibi wa huyo mtoto yuko wapi? i mean mama wa mkeo, kwanini asipekelewe kichanga akalea, nazani utuambie zaidi ili tujue jinsi ya kutoa msaada wa mawazo zaidi
Hivi mbona hawa mabibi wanaonewa sana? Wamewalea nyinyi halafu waje walee na wanenu tena wakiwa wamechoka, not fair. Kwa bibi mm, wanangu inabidi wajipange, labda kama mwanangu ni mgonjwa, kafungwa au kafa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo maana nfoa za sikuhizi hazidumu.

Huyu mleta mada kujisifu na kumletea mtoto wa nje ya ndoa mkewe amlee si ndiyo yeye mwenyewe tayari hapa kampa mkewe tiketi ya kwenda kuigawa nje.


Watu kama huyu ndiyo mwisho wa siku wanabambikiwa kulea watoto si wao na yenyewe inachekelea tu.

Huu niliousoma hapa ni ujinga wa hali ya juu, katika maelezo yote aliyoyaandika humu, nini cha kumzuwia mkewe na yeye asiigawe?
Halafu anadhani mkewe karidhika. Hajui sasa hivi anaishi na mfano wa mke na ndio maana ameweza kumjibu atakavyo, na wala asidhani kumpiga ndio suluhisho.

Mkewe yupo hapo lakini amekufa ganzi mwili na nafsi.

Humu wengi wanaona mke hana haki ya kumkataa mtoto wa nje ya ndoa, na wanadai mke akikataa aachwe, je wamejiuliza watoto aliozaa na mkewe atakuwa na hali gani?? Au hao sio watoto mtoto ni huyo wa wazinzi?!?!
 
Halafu anadhani mkewe karidhika. Hajui sasa hivi anaishi na mfano wa mke na ndio maana ameweza kumjibu atakavyo, na wala asidhani kumpiga ndio suluhisho.

Mkewe yupo hapo lakini amekufa ganzi mwili na nafsi.

Humu wengi wanaona mke hana haki ya kumkataa mtoto wa nje ya ndoa, na wanadai mke akikataa aachwe, je wamejiuliza watoto aliozaa na mkewe atakuwa na hali gani?? Au hao sio watoto mtoto ni huyo wa wazinzi?!?!
Watu wanachukulia vitu simple sana hapo hujaongelea Huyo mwanamke aliyezaa nae kumtembelea mtoto wake hapo nyumbani mara kwa mara maana ni mwanae ,kupasha viporo ndio kabisaa.Aisee. Haya mambo yasikie tu yanaleta mgogoro sana.Bora mtoto wa kumkuta kuliko wa kuletewa ndani ya ndoa yaani kila ukimuangalia utakuwa unakasirika tu.
 
Acha kuwa mbinafsi!!
Mkeo umemkosea, umefanya uzinzi, umezaa nje, bado kama haitoshi ukaamua kumlazimisha alee mwanao wa nje, makosa yote haya wewe unadhani unastahili adhabu gani?

Mkeo amefanya uamuzi wa kijasiri sana, kukubali uzinzi wako na kukulelea mwanao wa haramu, mwanamke mwingine asingekubali ujinga kama huo

Umefanya nini wewe kujutia kosa lako?
Umefanya nini kwa mkeo a) Kwa kosa la Kuzaa nje na b) kwa kukubali kumlea mwanao wa nje?

Mkeo bado ana kinyongo kwa makosa uliyomfanyia, ulipaswa kuwa considerate kukubali ombi la mkeo kumlea mtoto wa mdogo wake, angalau ingekuwa kama namna ya kuonesha appreciation kwake kwa ushenzi uliomtendea, bado kama haitoshi unampiga!!!!????

Ndugu zake na wengine wowote wenye akili timamu lazima wamuunge mkono mkeo

Haiingii akilini yaani ushindwe kujidhibiti nyeg zako, uzae nje, na kisha ulete mtoto nyumbani, umlalimishe mkeo amlee, halafu aombe kumlea mtoto wa ndugu yake aambulie kipigo kisa wewe ni mwanaume!!!???

Kwa makosa uliyomfanyia mkeo wewe upigwe mara ngapi!??

Hebu imagine, mkeo angekuwa dada yako na mumewe anamfanyia mambo kama haya unayomfanyia mkeo, wewe kama kaka yake ungejisikiaje!!!!???

Mkeo ni shujaa - amekuvumilia sana, alipaswa kuondoka hapo kwako siku nyingi, lakini uvumilivu wake wewe unauchukulia poa tu, wewe unashindwa naye kumvumilia!!??

Acha ubinafsi


Sent using Jamii Forums mobile app
KOSA HUWA HALIHALALISHI KOSA.
Kwa maana hiyo jamaa yupo sahihi. Alizaa nje sawa, na mtoto aliemzaa ni wake. Mwisho wa siku aliamua kuvuna alicho panda kwa kumleta mtoto wake kwake na si kwa mtu mwingine.
 
Hapo huyo mkewe anafanya kusudi tu, anafanya istihizai, kama mume kaweza kumletea mtoto wa nje ya ndoa, ambae si wake kabisa, kwanini yeye asilete mtoto wa mdogo wake akamlea?

Na anapokataa ujuwe sasa huyo mwanamke ataigawa nje na kumletea aanze kulea mimba mpaka mtoto ambae si wake.

Hili ni wazi kabisa.
kweli kabisa, lakini anapaswa aangalie na vya kushindania.
 
Habar za muda huu wanajamvi. Nitaeleza kwa kifupi.,

Kama tujuavyo mabaharia tunapita na wengi kimasihara, sasa Ktk ptpt zangu nikapata zawadi ya mtoto nje ya ndoa, mama wa uyu mtoto hana maisha ya kueleweka yupo yupo yani kimasihara, ni mtu ambaye yan ht ukiamua umwezeshe kimaisha hawezi., mambo mengi muda mchache.. kwa hiyo mimi kama baba wa uyu mtoto nikamsoma mapema hawezi kumlea mwanangu.

Nikamwambia wife everything going on, hali ilikua tete bt baadae ilibidi tu anielewe, nikamchkua mtoto akiwa na mwaka tu. na mama wa mtoto ye hana hbr yan ndo kwanza nilivomwambia akaona nampunguzia mzigo.

Mtafaruku umeanza pale shemeji wa mimi mdogo wa mke wangu anataka atuachie kichanga cha mwezi mmoja kwa kigezo anaenda kuendelea na masomo ya chuo yaani kwa kifupi kitoto kinamtinga akiwa masomoni. Kapata backup toka kwa dadaye ( mke wangu) kwamba ni sahihi aache huyo mtoto yy akapige shule.

Nilipokataa kwa busara tu za kawaida kwamba mamaye yupo haumwi na kitoto bado kidogo mno, ndipo nilipogeuka adui wa kila mtu si mke wangu, si mashemeji wote wananiona mimi sitaki kutoa msaada wa malezi ya ndugu wa mke..

Mke wangu nae ananikumbusha khsu uyu mwanangu nliempata nje ya ndoa kila ninapinga hili swala. Juzi kanijibu mbovu nikashindwa kujizuia nikampa kibano cha haja kidogo, hadi saivi yupo kwao...

Mabaharia wenzangu, dada zangu na mama zangu wazoefu wa maisha ya ndoa nipeni mwongozo, uhusiano na ndugu wa mke kwa sasa ni mbaya sana.,.

Je ni ubinafsi wangu ndo unaosababisha huu mgogoro? Niumalize huu mgogoro vipi.? Nikipokee kichanga kwa kigezo tu cha mamaye kusoma?
Hivi hicho kichanga kinakugharimu nn mkuu...... kwani kitafanya papuchi ya mkeo usile? au utaacha kwenda kazini ili kukalea? si uwe na roho safi ukaache kalelewe hapo nyumbani...... acha kumkataa malaika huyu.
 
Unapiga mwanamke?/duh
Habar za muda huu wanajamvi. Nitaeleza kwa kifupi.,

Kama tujuavyo mabaharia tunapita na wengi kimasihara, sasa Ktk ptpt zangu nikapata zawadi ya mtoto nje ya ndoa, mama wa uyu mtoto hana maisha ya kueleweka yupo yupo yani kimasihara, ni mtu ambaye yan ht ukiamua umwezeshe kimaisha hawezi., mambo mengi muda mchache.. kwa hiyo mimi kama baba wa uyu mtoto nikamsoma mapema hawezi kumlea mwanangu.

Nikamwambia wife everything going on, hali ilikua tete bt baadae ilibidi tu anielewe, nikamchkua mtoto akiwa na mwaka tu. na mama wa mtoto ye hana hbr yan ndo kwanza nilivomwambia akaona nampunguzia mzigo.

Mtafaruku umeanza pale shemeji wa mimi mdogo wa mke wangu anataka atuachie kichanga cha mwezi mmoja kwa kigezo anaenda kuendelea na masomo ya chuo yaani kwa kifupi kitoto kinamtinga akiwa masomoni. Kapata backup toka kwa dadaye ( mke wangu) kwamba ni sahihi aache huyo mtoto yy akapige shule.

Nilipokataa kwa busara tu za kawaida kwamba mamaye yupo haumwi na kitoto bado kidogo mno, ndipo nilipogeuka adui wa kila mtu si mke wangu, si mashemeji wote wananiona mimi sitaki kutoa msaada wa malezi ya ndugu wa mke..

Mke wangu nae ananikumbusha khsu uyu mwanangu nliempata nje ya ndoa kila ninapinga hili swala. Juzi kanijibu mbovu nikashindwa kujizuia nikampa kibano cha haja kidogo, hadi saivi yupo kwao...

Mabaharia wenzangu, dada zangu na mama zangu wazoefu wa maisha ya ndoa nipeni mwongozo, uhusiano na ndugu wa mke kwa sasa ni mbaya sana.,.

Je ni ubinafsi wangu ndo unaosababisha huu mgogoro? Niumalize huu mgogoro vipi.? Nikipokee kichanga kwa kigezo tu cha mamaye kusoma?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar za muda huu wanajamvi. Nitaeleza kwa kifupi.,

Kama tujuavyo mabaharia tunapita na wengi kimasihara, sasa Ktk ptpt zangu nikapata zawadi ya mtoto nje ya ndoa, mama wa uyu mtoto hana maisha ya kueleweka yupo yupo yani kimasihara, ni mtu ambaye yan ht ukiamua umwezeshe kimaisha hawezi., mambo mengi muda mchache.. kwa hiyo mimi kama baba wa uyu mtoto nikamsoma mapema hawezi kumlea mwanangu.

Nikamwambia wife everything going on, hali ilikua tete bt baadae ilibidi tu anielewe, nikamchkua mtoto akiwa na mwaka tu. na mama wa mtoto ye hana hbr yan ndo kwanza nilivomwambia akaona nampunguzia mzigo.

Mtafaruku umeanza pale shemeji wa mimi mdogo wa mke wangu anataka atuachie kichanga cha mwezi mmoja kwa kigezo anaenda kuendelea na masomo ya chuo yaani kwa kifupi kitoto kinamtinga akiwa masomoni. Kapata backup toka kwa dadaye ( mke wangu) kwamba ni sahihi aache huyo mtoto yy akapige shule.

Nilipokataa kwa busara tu za kawaida kwamba mamaye yupo haumwi na kitoto bado kidogo mno, ndipo nilipogeuka adui wa kila mtu si mke wangu, si mashemeji wote wananiona mimi sitaki kutoa msaada wa malezi ya ndugu wa mke..

Mke wangu nae ananikumbusha khsu uyu mwanangu nliempata nje ya ndoa kila ninapinga hili swala. Juzi kanijibu mbovu nikashindwa kujizuia nikampa kibano cha haja kidogo, hadi saivi yupo kwao...

Mabaharia wenzangu, dada zangu na mama zangu wazoefu wa maisha ya ndoa nipeni mwongozo, uhusiano na ndugu wa mke kwa sasa ni mbaya sana.,.

Je ni ubinafsi wangu ndo unaosababisha huu mgogoro? Niumalize huu mgogoro vipi.? Nikipokee kichanga kwa kigezo tu cha mamaye kusoma?
hapo masihara ndo yamekuponza
 
Hivi mbona hawa mabibi wanaonewa sana? Wamewalea nyinyi halafu waje walee na wanenu tena wakiwa wamechoka, not fair. Kwa bibi mm, wanangu inabidi wajipange, labda kama mwanangu ni mgonjwa, kafungwa au kafa.

Sent using Jamii Forums mobile app
mtoto mpumbavu ni mzigo wa mama yake, sasa kwa situation kama huyu kaka unataka shemeji ndo abebe mzigo wa kulea? binti inabidi apambane na wakwao, wao ndo wajue wanaubeba vip kama kumuacha ahangaike mwenyewe au waubebe wenyewe but its not fair kumtupia mzigo shemeji yake
 
Huyo mtoto ungemlea mwenyewe mkuu? Kwani ungekuwa unambeba mgongoni? Hapo umezingua mnoo.

Sikia mkuu, cha kufanya kubali hiko kichanga kibaki kwako, cha msingi hakikisha baba kichanga anatuma matumizi ya kichanga.



Unforgetable
Mkuu hujui kulea watoto wachanga kuna shuluba gani.
Pili Baba wa huyo mtoto wa shemejie yupo wapi abebe mzigo wake kama huyu jamaa alivyo beba mzigo wake?

Unabeba mzigo huo tu kama baba wa mtoto kafa au mtoto amekataliwa na baba.
Tatu mtoto wa mwezi mmoja sio sahihi kulelewa na mtu mwingine zaidi ya mama mzazi.
Angalau angefikisha miezi sita ndio maana kuna sheria ya likizo ya uzazi miezi kadhaa baada ya mtoto kuzaliwa.
Mama wa mtoto ni katili kupitiliza na hamjali mtoto, alitakiwa aombe kuhairisha masomo kwa mwaka au muhula au semester moja.
 
Mkuu hapa itaonekana kama ukatili lakini ni bora ukamlee mtoto wa single mama aliefikisha mwaka mmoja kuliko huyo mtoto wa chini ya mwaka wa shemeji yako.

Ngoja nikuulize umezaa watoto na huyo mkeo?
 
Jamaa alompa mimba nae hana mwelekeo,,, Shem mwenyewe alikua anatoa mimba tena kubwa kbsa ikashindikana mtoto katoka mzima...
Kwanza nikupe uzoefu, huyo mkilelea mtoto wa mwezi mmoja hatajua ugumu wa kulea mtoto atawaletea mtoto mwingine soon.
Mwacheni apambane na malezi ya mwanawe hadi mwaka mmoja kisha mchukueni mtoto yeye aende shule akijua ugumu wa malezi.
 
Back
Top Bottom