Kula tunda kimasihara kunavyoigarimu ndoa yangu

Kula tunda kimasihara kunavyoigarimu ndoa yangu

Bro! yaani hata usipoteze muda kabisa kuomba ushauri....huyu mdogo wa mke wako anandugu zake wengine huko ikiwa ni pamoja na hao kakazake, dada wengine, shangazi, bibi na wa upande wa jamaa waliompa mimba....waende wakeleane huko...tena weka uso wa mbuzi kabisa! kama alikuwa tayari kubeba mimba, bila shaka alikuwa tayari pia kulea-Kila mtu na ashinde mechi zake!

Imewahi nitokea kipindi flani dogo wa wife mtu mzima na anakazi yake alikuwa analeta usela mavi maskani yangu. akivuta bange kichwa kidogo anaondoka kazini anaenda kusumbua ndugu zake kwao akiwa poa anarejea kazini...w

akati flani akahamishia kambi maskani yangu...nikamkaribisha kwa upole na upendo...dogo akaanza kulete usela mavi maskani yangu...nikatoa onyo la kwanza na pili..la tatu nikatimua...akasepa aliposepa after few days akarudi na fujo zaidi...nikaenda nkawa askari kitu kidogo wakamdaka wakamtia ndani akili ikakaa sawa...mpaka hii leo fujo anafanyia huko huko kwao na kwa ndugu zake...nikawaeleza akirejea kwangu tena nafungasha virago yeye na dadake wote! Mazafanta 🙂
 
Kwani huyo mtoto atakugharimu nini. Kama mkeo yuko tayari kumlea wacha amlee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mtoto anapoingia ndani tayari anakuwa mwanae pia...so lazima imgarimu malezi yote yanayopaswa mtoto kupewa....kwa lugha nyingine anakuwa baba mlezi na atatakiwa kutoa matunzo yote. Yeye ni Baba na Kichwa cha nyumba. FULL STOP
 
Ulipokosea ni hapo ulipompa kibano cha haja mkeo...Sababu wewe pia ulikosea ukamletea mtoto wa nje ya ndoa na hakukupiga. Anyaway, nadhani mkeo anachofanya ni kama ulichofanya wewe, yeye pia analeta mtoto wa nje ndani ya ndoa (akitoka kwa ndugu ni nje ya ndoa) ili muwe sawa (even). Bro, children are very beautiful creatures, kama mkeo yupo tayari kuishi naye wala hautakuwa mzigo upande wako..Hizo ndizo sadaka sahihi tunazopaswa kutoa, hii ni sadaka sio kwa mama wa mtoto bali kwa mtoto mwenyewe...Acha kumpiga mkeo kisa amekueleza ukweli ambao haukubaliani nao..Tafakari hii itakusaidi a kufanya maamuzi. Asante kwa kushare nasi story yako kaka. Bf Tulinagwe,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rafiki tatizo wewe mkali sana
Hamna siwezi kuwa mkali bila sababu , mie sio mkorofi kabisa [emoji23][emoji23][emoji23] ila kwa hilo hapana rafiki bora ni nyime tubpesa kwa kitu nilichokitamani lakini eti ukalete mtoto ulile chakachua huko hapana, kama umecheza rafu huko red kadi mpeane huko huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulipokosea ni hapo ulipompa kibano cha haja mkeo...Sababu wewe pia ulikosea ukamletea mtoto wa nje ya ndoa na hakukupiga. Anyaway, nadhani mkeo anachofanya ni kama ulichofanya wewe, yeye pia analeta mtoto wa nje ndani ya ndoa (akitoka kwa ndugu ni nje ya ndoa) ili muwe sawa (even). Bro, children are very beautiful creatures, kama mkeo yupo tayari kuishi naye wala hautakuwa mzigo upande wako..Hizo ndizo sadaka sahihi tunazopaswa kutoa, hii ni sadaka sio kwa mama wa mtoto bali kwa mtoto mwenyewe...Acha kumpiga mkeo kisa amekueleza ukweli ambao haukubaliani nao..Tafakari hii itakusaidi a kufanya maamuzi. Asante kwa kushare nasi story yako kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mtoto anapoingia ndani tayari anakuwa mwanae pia...so lazima imgarimu malezi yote yanayopaswa mtoto kupewa....kwa lugha nyingine anakuwa baba mlezi na atatakiwa kutoa matunzo yote. Yeye ni Baba na Kichwa cha nyumba. FULL STOP
Anao muda wa kumlea mtoto wa mwezi mmoja? Wajibu huo utamwangukia mkewe ambaye yuko tayari kulibeba jukumu hilo. Yeye ni roho mbaya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIjaelewa; kama mkeo umempiga KOFI halafu karudi kwao then it means huko kwao wanao uwezo wa kulea mtoto wa mtoto wao (mtoto wa shemeji yako ). KWanini huyo mtoto wa mtoto wao aje kwako na sio kwao? Tuanzie hapo kwanza.
 
Ndugu yangu shikilia msimamo wako na wala usiyumbishwe na yoyote na pia mwambie kabisa mkeo kuwa kama ndugu zake wanahitaji msaada wako basi atawasaidia wakiwa huko huko kwao sio kuleta watoto wao hapo kwako unless kuwe na tatizo kubwa ambalo limeshindikana kwa njia yoyote.

Pia mwambie huyo mtoto wako ni wa kwako kwa damu na ana haki sawa na watoto wako wengine na kuzaa kwako nje isiwe sababu ya kukuyumbisha na mweleze kuwa hayo uliyoyasema akawaambie na watu wake huko kwao wajue msimamo wako.

Umeoa mwanamke mjinga sana. Pole kwa hilo ila onyesha misimamo yako na ndugu zake wote wajue kuwa wewe ni mtu wa misimamo hawatakuchezea kamwe
 
Vichapo vingi wanavyopata wake zetu hutokana na mdomo! Mwanamke akiona anapokukwaza kwa maneno hukwaziki, huongeza ukali wa maneno na kuongeza sauti ili udharirike...

Hapo ndo mikono ya mwanaume hunyanyuka yenyewe na kufanya kazi yake ya kichapo bila kutumwa na ubongo. Ndo maana baada ya kichapo wanaume wengi hujutia kuwapiga wenzi wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakazia na ukishachapa makofi mara mbili tatu akili uwa zinawakaa sawa. Mie nilishamwambia mke wangu kuwa ukiona nakupiga ujue najutia kukuoa na nakuona kama mwizi ambaye kipigo ndio halali yake
 
Acha kuwa mbinafsi!!
Mkeo umemkosea, umefanya uzinzi, umezaa nje, bado kama haitoshi ukaamua kumlazimisha alee mwanao wa nje, makosa yote haya wewe unadhani unastahili adhabu gani?

Mkeo amefanya uamuzi wa kijasiri sana, kukubali uzinzi wako na kukulelea mwanao wa haramu, mwanamke mwingine asingekubali ujinga kama huo

Umefanya nini wewe kujutia kosa lako?
Umefanya nini kwa mkeo a) Kwa kosa la Kuzaa nje na b) kwa kukubali kumlea mwanao wa nje?

Mkeo bado ana kinyongo kwa makosa uliyomfanyia, ulipaswa kuwa considerate kukubali ombi la mkeo kumlea mtoto wa mdogo wake, angalau ingekuwa kama namna ya kuonesha appreciation kwake kwa ushenzi uliomtendea, bado kama haitoshi unampiga!!!!????

Ndugu zake na wengine wowote wenye akili timamu lazima wamuunge mkono mkeo

Haiingii akilini yaani ushindwe kujidhibiti nyeg zako, uzae nje, na kisha ulete mtoto nyumbani, umlalimishe mkeo amlee, halafu aombe kumlea mtoto wa ndugu yake aambulie kipigo kisa wewe ni mwanaume!!!???

Kwa makosa uliyomfanyia mkeo wewe upigwe mara ngapi!??

Hebu imagine, mkeo angekuwa dada yako na mumewe anamfanyia mambo kama haya unayomfanyia mkeo, wewe kama kaka yake ungejisikiaje!!!!???

Mkeo ni shujaa - amekuvumilia sana, alipaswa kuondoka hapo kwako siku nyingi, lakini uvumilivu wake wewe unauchukulia poa tu, wewe unashindwa naye kumvumilia!!??

Acha ubinafsi


Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi mtoto wangu niwe nimemzaa kwa mke wangu au kwa mwanamke yoyote yule duniani ana thamani kubwa kuliko mke tuliokutana ukubwani na kuunganishwa kwa kiapo. Mtoto ni damu yangu sitoiacha kamwe ila mke akiniletea upuuzi namwacha ndani ya siku moja tu.

Naweza nikaacha mke na kuoa mwingine ndani ya miezi sita tu na ninaweza kuzaa na mwanamke yoyote nainayehitaji kuzaa nae. Binadamu tumeminywa sana na hizi taratibu sijui uzae na mke mooja tu au ndani ya ndoa. Wakoloni wametuletea ujinga sana
 
Habar za muda huu wanajamvi. Nitaeleza kwa kifupi.,

Kama tujuavyo mabaharia tunapita na wengi kimasihara, sasa Ktk ptpt zangu nikapata zawadi ya mtoto nje ya ndoa, mama wa uyu mtoto hana maisha ya kueleweka yupo yupo yani kimasihara, ni mtu ambaye yan ht ukiamua umwezeshe kimaisha hawezi., mambo mengi muda mchache.. kwa hiyo mimi kama baba wa uyu mtoto nikamsoma mapema hawezi kumlea mwanangu.

Nikamwambia wife everything going on, hali ilikua tete bt baadae ilibidi tu anielewe, nikamchkua mtoto akiwa na mwaka tu. na mama wa mtoto ye hana hbr yan ndo kwanza nilivomwambia akaona nampunguzia mzigo.

Mtafaruku umeanza pale shemeji wa mimi mdogo wa mke wangu anataka atuachie kichanga cha mwezi mmoja kwa kigezo anaenda kuendelea na masomo ya chuo yaani kwa kifupi kitoto kinamtinga akiwa masomoni. Kapata backup toka kwa dadaye ( mke wangu) kwamba ni sahihi aache huyo mtoto yy akapige shule.

Nilipokataa kwa busara tu za kawaida kwamba mamaye yupo haumwi na kitoto bado kidogo mno, ndipo nilipogeuka adui wa kila mtu si mke wangu, si mashemeji wote wananiona mimi sitaki kutoa msaada wa malezi ya ndugu wa mke..

Mke wangu nae ananikumbusha khsu uyu mwanangu nliempata nje ya ndoa kila ninapinga hili swala. Juzi kanijibu mbovu nikashindwa kujizuia nikampa kibano cha haja kidogo, hadi saivi yupo kwao...

Mabaharia wenzangu, dada zangu na mama zangu wazoefu wa maisha ya ndoa nipeni mwongozo, uhusiano na ndugu wa mke kwa sasa ni mbaya sana.,.

Je ni ubinafsi wangu ndo unaosababisha huu mgogoro? Niumalize huu mgogoro vipi.? Nikipokee kichanga kwa kigezo tu cha mamaye kusoma?
Binafsi sijakuelewa.
 
Habar za muda huu wanajamvi. Nitaeleza kwa kifupi.,

Kama tujuavyo mabaharia tunapita na wengi kimasihara, sasa Ktk ptpt zangu nikapata zawadi ya mtoto nje ya ndoa, mama wa uyu mtoto hana maisha ya kueleweka yupo yupo yani kimasihara, ni mtu ambaye yan ht ukiamua umwezeshe kimaisha hawezi., mambo mengi muda mchache.. kwa hiyo mimi kama baba wa uyu mtoto nikamsoma mapema hawezi kumlea mwanangu.

Nikamwambia wife everything going on, hali ilikua tete bt baadae ilibidi tu anielewe, nikamchkua mtoto akiwa na mwaka tu. na mama wa mtoto ye hana hbr yan ndo kwanza nilivomwambia akaona nampunguzia mzigo.

Mtafaruku umeanza pale shemeji wa mimi mdogo wa mke wangu anataka atuachie kichanga cha mwezi mmoja kwa kigezo anaenda kuendelea na masomo ya chuo yaani kwa kifupi kitoto kinamtinga akiwa masomoni. Kapata backup toka kwa dadaye ( mke wangu) kwamba ni sahihi aache huyo mtoto yy akapige shule.

Nilipokataa kwa busara tu za kawaida kwamba mamaye yupo haumwi na kitoto bado kidogo mno, ndipo nilipogeuka adui wa kila mtu si mke wangu, si mashemeji wote wananiona mimi sitaki kutoa msaada wa malezi ya ndugu wa mke..

Mke wangu nae ananikumbusha khsu uyu mwanangu nliempata nje ya ndoa kila ninapinga hili swala. Juzi kanijibu mbovu nikashindwa kujizuia nikampa kibano cha haja kidogo, hadi saivi yupo kwao...

Mabaharia wenzangu, dada zangu na mama zangu wazoefu wa maisha ya ndoa nipeni mwongozo, uhusiano na ndugu wa mke kwa sasa ni mbaya sana.,.

Je ni ubinafsi wangu ndo unaosababisha huu mgogoro? Niumalize huu mgogoro vipi.? Nikipokee kichanga kwa kigezo tu cha mamaye kusoma?
Mtoto wa mwezi mmoja kiuhalisia anatakiwa akae na mama yake mzazi...
Binafsi kuwa ulizaa nje hakutakiwi kuwe sababu ya kuachiwa mtoto wa mwezoli mmoja. Hao ndugu wa mkeo inaonyesha uliwapa nafasi tangu siku za nyuma

Unatakiwa usiligeze uzi. Unajuwa amerudi kwao kisa mdogo wake na inaonyesha wazazi wake wanaunga mkono.

Waambie hivi, mtoto afike angalau mwaka ndo anaweza akaachwa kwako na mama yake akasome. Kumuacha akiwa na mwezi tu ni ujinga. Hilo linawezekana tu endapo mama yake amefariki.

Kwa kipindi hiki ambacho mkeo yupo kwao, utapitia magumu, lakini ujuwe na huko aliko anapitia magumu zaidi. Wewe hakikisha unahudumia familia yako hapo kwako ipasavyo. Huko kwa mkeo usipeleke chochote na wala usiende kwao.

Kuishi na mtu mzima tena aliyekimbia ndoa watashindwa tu. Watamuanzishia maneno madogo madogo na mwisho atashindwa. Siku atakayotaka kurudi mpe masherti ya magumu ili ajifunze. Maana inaonyesha ndugu zake wanamtia ujinga. Muda si mrefu wataanza kulaumiana..TRUST ME...
 
Vichapo vingi wanavyopata wake zetu hutokana na mdomo! Mwanamke akiona anapokukwaza kwa maneno hukwaziki, huongeza ukali wa maneno na kuongeza sauti ili udharirike...

Hapo ndo mikono ya mwanaume hunyanyuka yenyewe na kufanya kazi yake ya kichapo bila kutumwa na ubongo. Ndo maana baada ya kichapo wanaume wengi hujutia kuwapiga wenzi wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Very true... KAMA KWELI WEWE NI MWANAUME NIPIGE..!!! Kauli hii au inayofanana na hii inawagharimu sana.... Sasa ukute mwanamke anapata sapoti ya kijinga toka kwa familia yake ndo balaa....
 
Back
Top Bottom