Kula tunda kimasihara kunavyoigarimu ndoa yangu

Huyo shemeji yako angejua kuna kusoma asingepanua mipajaa yakeee ovyooo... Nasemaaaa umefanya jambo sahihi alafu ni dharau Kubwaaa mnoo kukubali kulelea mtoto wa shemeji yako maana huyo dada hakuzaaa na mbuzi... Hilo lijamaaa lililomzalisha lichukue mtoto litajua kama ni mama ake atamlelea au vip....!!
Ongera sana mkuuuu... Msimamo uo uo shikiliaaaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kuwa mbinafsi!!
Mkeo umemkosea, umefanya uzinzi, umezaa nje, bado kama haitoshi ukaamua kumlazimisha alee mwanao wa nje, makosa yote haya wewe unadhani unastahili adhabu gani?

Mkeo amefanya uamuzi wa kijasiri sana, kukubali uzinzi wako na kukulelea mwanao wa haramu, mwanamke mwingine asingekubali ujinga kama huo

Umefanya nini wewe kujutia kosa lako?
Umefanya nini kwa mkeo a) Kwa kosa la Kuzaa nje na b) kwa kukubali kumlea mwanao wa nje?

Mkeo bado ana kinyongo kwa makosa uliyomfanyia, ulipaswa kuwa considerate kukubali ombi la mkeo kumlea mtoto wa mdogo wake, angalau ingekuwa kama namna ya kuonesha appreciation kwake kwa ushenzi uliomtendea, bado kama haitoshi unampiga!!!!????

Ndugu zake na wengine wowote wenye akili timamu lazima wamuunge mkono mkeo

Haiingii akilini yaani ushindwe kujidhibiti nyeg zako, uzae nje, na kisha ulete mtoto nyumbani, umlalimishe mkeo amlee, halafu aombe kumlea mtoto wa ndugu yake aambulie kipigo kisa wewe ni mwanaume!!!???

Kwa makosa uliyomfanyia mkeo wewe upigwe mara ngapi!??

Hebu imagine, mkeo angekuwa dada yako na mumewe anamfanyia mambo kama haya unayomfanyia mkeo, wewe kama kaka yake ungejisikiaje!!!!???

Mkeo ni shujaa - amekuvumilia sana, alipaswa kuondoka hapo kwako siku nyingi, lakini uvumilivu wake wewe unauchukulia poa tu, wewe unashindwa naye kumvumilia!!??

Acha ubinafsi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukioa mwanamke ambaye huwezi kumpanga ukamsomesha hilo ni kosa kitaalamu linaitwa "strategic mistake".

Yani ni kosa la msingi sana, si kosa la kufanya na kurekebisha.

Hayo mengine yote ya kuzaa nje ya ndoa, kuletewa mtoto wa shemeji na kadhalika, ingekuwa una uwezo wa kumpanga mkeo ukamsomesha yasingekuwa matatizo makubwa.

Tatizo inaonekana huwezi kumsomesha mkeo.

Kwa mwanamme huu ni udhaifu mkubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mama nae kawehuka? ,mtt wa mwezi unamuachaje kwa mfano
Best wangu aliacha mtoto wa mwezi mmoja kwenda uni, lakini yeye alimuoa has kwa baba na mama yake. Alipata mimba akiwa jeshini matokeo Yamato’s alikua na div 2 PCB
 
Bf Tulinagwe,

Kwenye hili tumia busara ya hali ya juu na ukicheza ukajitia kuweka ubabe utapoteza huyo mtoto na ikibidi na hata hiyo ndoa! Niamini mimi, wanawake ni zaidi ya uwajuavyo na akiamua jambo hataki usimng'ang'anize kuwa na plan B.

Kama una ndugu, wazazi kina dada nakushauri peleka huyo mtoto huko mpaka ajitegemee vyema katika kujisaidia na kuongea anapopata tatizo! Vinginevyo utauguza UTI hapo mpaka akili ikuae!
 
Kama kuna mambo ambayo nitashukuru ikiwa nitafanikiwa kuyaepuka ni kuzaa nje ya ndoa, maana ninavyomuona huyu mke wangu sipati picha moto utakaowaka na pia nadhani nitakuwa nimejivua nguo kabisa aise!
Ila huyo mtoto wa Shemeji yako bado Mdogo sana! Atafute namna nyingine maana huo mzigo utakuwa wa kwako!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na unavyomkatalia mkeo asilee mtoto wa ndugu huyo mwanao wakuchepukia asubili maumivu
toka kwa mkeo, labda ukae nyumbani uwe unamlea mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo nyumban ni kwa wanan ndugu kwa kwa mke na mume??
Kama mwanamke ana mind, basi na yy akabebe mimba ya nje hukoo ndio alete mtoto nyumban kwakua hapo patakua pake lakin sio shemeji mtu.Anahusika vp kwemye nyumba za watu.
Kuwen na akil kidogo basi
 
Kwanza yamalize na wife, ulikosea kumchapa ( japo sometimes huwa ndio wao wnalazimisha haya).Sema inaonekana huy mwanamke nae kibur maana kipigo tu kashakimbilia kwao..Degree hiz nazo zinatusumbua kwel yan kwenye ndoa.

Pili, mueleze kwann hukubalian na shemeji mtukuacha mtoto hapo home.Ni kwa manufaa ya mtoto kwanza lakin pia kwa ustawibwa familia yenu, kama vp mama mkwe angekuja kumlelea hapo home huyo kivhanga lakin kwann mkae kujazana hapo home na hiyo ni ndoa yenu??ampeleke tu kwa bibi yake kama matumiz nn mum support akiwa hukoo.
Kujaza sana watu home nako huwa kunaleta shida kwenye ndoa.

Mwisho mpe respect yf, sio kazi rahis kulea mtoto wa mwenzako tena akiwa mdogo namna hiyo ndio mana unaona anasusa susa na kukutagutia visa ili iwe ngoma droo, ingawa kwa mwanamke mwenye akil kama angekubali hiyo situation basi anageweza kum model huyo dogo akawa kama mwanae wa kumzaa tu cz bado mtoto sana.
Ajue kabisaa yy kukubali mtoto mchanga huyo kaz ngumu itakua kwake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom