Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,124
- 7,433
mama wa uyu mtoto hana maisha ya kueleweka yupo yupo yani kimasihara,
mama wa uyu mtoto hana maisha ya kueleweka yupo yupo yani kimasihara,
Huo sasa ujinga.. Wala sio sifa.
Best wangu aliacha mtoto wa mwezi mmoja kwenda uni, lakini yeye alimuoa has kwa baba na mama yake. Alipata mimba akiwa jeshini matokeo Yamato’s alikua na div 2 PCBHuyo mama nae kawehuka? ,mtt wa mwezi unamuachaje kwa mfano
Anataka akalete mwingine Fasta.Huyo mama nae kawehuka? ,mtt wa mwezi unamuachaje kwa mfano
Mnhhh...Tabia zako zisimtese mkeo, hao wa nje ya ndoa wapelekeni kwa bibi zao.
hao watoto ni mwiba kwenye familia. ushahidi ninao, ukitaka nitakupa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wanaume huwa mnapewa ABCs za ndoa? Nilidhani nyie ni special mnazaliwa mkijua kila kituHiyo ndio ndoa mkuu,hukupata introduction kidogo kabla ya kuoa?au ndio wale tunaokurupuka tu kuoa kisa umeona mwanamke mzuri hivyo hutaki hata kupata ABC kidogo za ndoa...!
Sent using Jamii Forums mobile app
Baba Joseph17, Yani uogope kumleta mwanao kwako,basi utakua mwanaume nusu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo nyumban ni kwa wanan ndugu kwa kwa mke na mume??Na unavyomkatalia mkeo asilee mtoto wa ndugu huyo mwanao wakuchepukia asubili maumivu
toka kwa mkeo, labda ukae nyumbani uwe unamlea mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Upimbi huo.Mrudishe wife kisha chukua kachanga ulee mkuu baraka za MUNGU riziki zinaanziga kuja kupitia njia hizo mkuu miaka mitatu ya chuo sio mingi
Sent using Jamii Forums mobile app