Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,459
kula nini lakini, mi sijaelewa, unaweza kuota unakula (kutenda tendo la ndoa na mtu)...na ukaamka umelowa...wakati mwingine nindoto tu ila wakati mwingine majini au vizee vichawi vimekutembelea....kuna mbibi mmoja alishawahi kukamatwa kazi yake ili kulisha uchawi ufanya kazi vizuri alitakiwa usiku kuwatembelea vijana wa kiume na kuwachezesha chumvini kwake weeee, ndo kafara yake ya uchawi...w.adada wengi tu wanaota usiku wanaliwa na wanaume asubuhi waamka wamelowa...ndo maana nikauliza kula nini? be straight tafadhali....mtatembea/chezewa na majini ya kike na kiume kina maimuna hadi mkome nyie msokuwa na Mungu.