RAFA_01
Senior Member
- Aug 10, 2022
- 104
- 169
Graduates wengi tunachanganywa na vyeti vyetu na zile picha za majoho kwamba tukimaliza tunategemea kwenda kufanya kazki katika shining new office, tupige picha na kupost kuonyesha colleagues kwamba tumefanikiwa.
Hii inatokeo kwa baadhi ya watu wanabahatika wanapata kazi mapema na wengine ndio wanachelewa hawapati/hawajapata Mpaka leo.
Unafanya nini sasa kama umekosa kazi?
Ntazungumzia mimi sababu najua humu hamna graduates kihivyo, wengi wenu ni watu wazima. Ila mimi nimesaidiwa na mtu ambae hata leo simkumbuki kwa jina alikuwa jamaa tu alidai ana njaa akaniuzia kitabu Njiani “Cashflow Quadrant by Robert Kiyosaki” Kwa Buku (1000 Tsh/=). Kile kitabu sikukisoma right away... nilikiacha nkakiweka lakin baadae nikapata mda nkakisoma kimenifungua akili sana. Baada ya hapo nkasoma “The Small Business Bible”- by Steven D. Strauss
Nipo na small retail shop ambayo haifanyi vizuri kivile mpaka sasa ila nna furaha sababu nafanya vitu navyovipenda. kutokana na hayo mauzo madogo ili kuboost nmeongeza online presence kwahiyo nna official website ya kuhuzu hizo electronics accessories, Kama nilivyosema biashara haiko booming ila nna furaha Sababu inaniumiza kichwa ku operate kila kitu finance, sales, Marketing kila kitu nafanya mwenyewe inatesa asikwambie mtu ila at the same time it’s fun.
Tatizo linakuja kwa Wazazi, Marafiki na Colleagues linapokuja swala la Interviews. Nili apply for jobs kipindi hiko sasa siku hizi siendi na nisipoenda naulizwa simu kibao. kiukweli niko kwenye safari mpya nna degree ila bado naona sina maarifa ya kutosha bado ni mgeni sijui kitu, though nna degree field ya business. Kwa kusema ukweli elimu ya chuo inansaidia kwa kiasi chake watu wasidharau elimu.
Wazazi wanafikia kusema kua “una matatizo gani kusoma umesoma kazi hautaki?” Hawajui kuwa interview sio guarantee ya kazi. Mind you nimegraduate with honors sio kwamba nna cheti kibaya hapana.
Kweli labda napoteza maana nlkuwa nakaa kwangu ila sasa hivi niko kwa wazazi nimerudi kupunguza matumizi ya kodi, najikusanya nafanya Delivery kwa wateja wa online pamoja Freelancing Remotely kwa ujuzi nliioupata shulen japo wateja ndio changamoto, Marketing inahitajika paid ads hapo pesa tena. kule Kuna mtu ana operate Brick & Mortar kwenye kale ka store napata faraja atleast nimerahisisha maisha ya mtu mmoja.
Sema hii safari ni ngumu maana kila mtu anakwambia biashara ngumu, biashara ngumu... Kuanzia wazazi wako, familia na Marafiki wote.
Nasoma vitabu nasikiliza podcasts nafanya kazi still bado earnings inasua sua... wenzangu walio kwenye kazi wanaflex nilisema sitaangaika na 9-5 Job...nikisema nianze kuangaika ntakuwa narudi nyuma...(You can quit anytime, why Now?) niko na deal na computer na simu always reading...mpaka macho naona yanaanza kuuma natafuta Anti-Blue ray glasses huku nikiamini mambo yatakuwa sawa.
Kujiajiri sio rahisi kama inavyosemwa, Kwahiyo vijana wengi wanavyolalamika ukosefu wa ajira ni kwamba wanaogopa hii safari sababu sio rahisi.
Mungu akisaidia nkiweza toboa nataka ntafute njia ya kuwasaidia vijana wenzangu kutoka katika hili tatizo. Na document kila kitu ili ntumie kama learning tools kwa wengine.
Kwa yeyote mwenye Marketing Tips au ushauri ningefurahi kusikia kutoka kwenu wazoefu.
Ahsante.
Hii inatokeo kwa baadhi ya watu wanabahatika wanapata kazi mapema na wengine ndio wanachelewa hawapati/hawajapata Mpaka leo.
Unafanya nini sasa kama umekosa kazi?
Ntazungumzia mimi sababu najua humu hamna graduates kihivyo, wengi wenu ni watu wazima. Ila mimi nimesaidiwa na mtu ambae hata leo simkumbuki kwa jina alikuwa jamaa tu alidai ana njaa akaniuzia kitabu Njiani “Cashflow Quadrant by Robert Kiyosaki” Kwa Buku (1000 Tsh/=). Kile kitabu sikukisoma right away... nilikiacha nkakiweka lakin baadae nikapata mda nkakisoma kimenifungua akili sana. Baada ya hapo nkasoma “The Small Business Bible”- by Steven D. Strauss
Nipo na small retail shop ambayo haifanyi vizuri kivile mpaka sasa ila nna furaha sababu nafanya vitu navyovipenda. kutokana na hayo mauzo madogo ili kuboost nmeongeza online presence kwahiyo nna official website ya kuhuzu hizo electronics accessories, Kama nilivyosema biashara haiko booming ila nna furaha Sababu inaniumiza kichwa ku operate kila kitu finance, sales, Marketing kila kitu nafanya mwenyewe inatesa asikwambie mtu ila at the same time it’s fun.
Tatizo linakuja kwa Wazazi, Marafiki na Colleagues linapokuja swala la Interviews. Nili apply for jobs kipindi hiko sasa siku hizi siendi na nisipoenda naulizwa simu kibao. kiukweli niko kwenye safari mpya nna degree ila bado naona sina maarifa ya kutosha bado ni mgeni sijui kitu, though nna degree field ya business. Kwa kusema ukweli elimu ya chuo inansaidia kwa kiasi chake watu wasidharau elimu.
Wazazi wanafikia kusema kua “una matatizo gani kusoma umesoma kazi hautaki?” Hawajui kuwa interview sio guarantee ya kazi. Mind you nimegraduate with honors sio kwamba nna cheti kibaya hapana.
Kweli labda napoteza maana nlkuwa nakaa kwangu ila sasa hivi niko kwa wazazi nimerudi kupunguza matumizi ya kodi, najikusanya nafanya Delivery kwa wateja wa online pamoja Freelancing Remotely kwa ujuzi nliioupata shulen japo wateja ndio changamoto, Marketing inahitajika paid ads hapo pesa tena. kule Kuna mtu ana operate Brick & Mortar kwenye kale ka store napata faraja atleast nimerahisisha maisha ya mtu mmoja.
Sema hii safari ni ngumu maana kila mtu anakwambia biashara ngumu, biashara ngumu... Kuanzia wazazi wako, familia na Marafiki wote.
Nasoma vitabu nasikiliza podcasts nafanya kazi still bado earnings inasua sua... wenzangu walio kwenye kazi wanaflex nilisema sitaangaika na 9-5 Job...nikisema nianze kuangaika ntakuwa narudi nyuma...(You can quit anytime, why Now?) niko na deal na computer na simu always reading...mpaka macho naona yanaanza kuuma natafuta Anti-Blue ray glasses huku nikiamini mambo yatakuwa sawa.
Kujiajiri sio rahisi kama inavyosemwa, Kwahiyo vijana wengi wanavyolalamika ukosefu wa ajira ni kwamba wanaogopa hii safari sababu sio rahisi.
Mungu akisaidia nkiweza toboa nataka ntafute njia ya kuwasaidia vijana wenzangu kutoka katika hili tatizo. Na document kila kitu ili ntumie kama learning tools kwa wengine.
Kwa yeyote mwenye Marketing Tips au ushauri ningefurahi kusikia kutoka kwenu wazoefu.
Ahsante.