sema mkwe. Hajambo mke wangu mtarajiwa?
Nawaangalia tu!
sema mkwe. Hajambo mke wangu mtarajiwa?
Nawaangalia tu!
Nawaangalia tu!
ujue huyu mama ni baunsa ukiingia na swagga za kiaina lazima akudunde
wewe acha kucheka hapo unatakiwa udondokwe na chozi Passion LadyHeheheeee!halo! nicheke mie nipanue bandama langu!unajihami mapema eeeee!
wewe acha kucheka hapo unatakiwa udondokwe na chozi Passion Lady
nakukaa kwako mjini hapa umekuwa mwepesi kuamini watch utaibiwa mjini hapa jamaa amekula hela kaja na id nyingine matapeli wengi mjini hapa.ila haitamsaidia kitu na wala hana mpaka leo kama kweli amekula na ninaimani amekula haumwi wala nini kwanini aumwe baada tu yakupokea pesa??????????baba v
kweli najua aliko kwa kuwa ni my son, slave kwani mnapoambiwa ruhazwe jr alipata matatizo, akiwa kwenye matatizo
na yeye akaugua, ni nini ambacho hauelewi, hiyo laki moja ndo inakutoa imani?
Unajali pesa kuliko utu? Mi mwenyewe nilisema natoa zawadi ya mshindi na. 3 lakini
na haraka haraka zako hata jina langu silioni,
why all these man? Hivi ulishawahi kupata shida kweli?
Na wakati mwingine we are all grown up (isipokuwa noahism ndo mtoto)
tuangalie pia shida za wenzetu,
tell me who have already contributed some cash for that purpose so i may refund the same.
nakukaa kwako mjini hapa umekuwa mwepesi kuamini watch utaibiwa mjini hapa jamaa amekula hela kaja na id nyingine matapeli wengi mjini hapa.ila haitamsaidia kitu na wala hana mpaka leo kama kweli amekula na ninaimani amekula haumwi wala nini kwanini aumwe baada tu yakupokea pesa??????????