Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,113
Vin Diesel aje hapa aseme neno
Last edited by a moderator:
Kweli mkwe? bdo upo kijijin?
Mkwe sijakuelewa. Ni nani huyo mwenye bahati?
Nicas Mtei
kweli nilipelekwa kijijini ili nikajifunze maadili kutokana na kufanya chabo siku ya white party,
nikiwa kijijini nikakutana na wewe mkwe wangu rejea mazungumzo yetu ya awali
ndipo ukaamua kunipa mtaji wa biashara ya nguo. Nilipoenda dubai kuchukua mzigo wa nguo
nikakutana na mzungu akanipenda na sasa naendelea kula mema ya nchi.
Okay mkwe. Mimi nlijua kuwa Vin Diesel alikurudia baada ya wewe kuanza biashara.. Mzungu wako hajambo?
Najua nina bahati kwa sababu nimempata mwanao. Hyo ni bahati pia.
Vin Diesel aje hapa aseme neno
Nadhani anamuongelea Vin Diesel , anahofia kwa tabia za upendapenda ule akiachiwa mke wa mtu nusu dakika tu hafanyi makosa
Hili jambo ni moja ya mada za kikao cha leo....haiwezekani wazungu wachukue madini,sasa watachukua gesi....naona sasa wanataka hadi dada zetu....haiwezekani asee Nicas Mtei...
Ina maana Mamndenyi ndo amekuacha?
duuh na wewe kwa machale tu huwezekani>>
si mkeo au? au Bishanga amekuzid nguvu?
Ina maana Mamndenyi ndo amekuacha?
Nicas Mtei chanzo cha mimi kumpata yule mzungu ni wewe mkwe wangu ulipoamua kunipa mtaji wa kununua nguo kutoka Dubai.