Dhiki, shida, mitihani humfika kila mtu.
Aloumbwa duniani kukwepa hatothubutu!
Mimi nimeona karibia kila taarifa tulizopewa kuhusu
Ruhazwe JR.
Zilikuwa hazieleweki sasa sijui walitegemea nini kumuachia kila mtu assume kivyake.
Kitu kingine mlikuwa mnajipredictia . . . zitaletwa siku flani, mara soon akirejea, mara tarehe ngapi.
Tarehe inafika watu wanahoji . . . . lakini hakuna ufafanuzi ilihali kuna ndugu yake.
Mara ikafika siku mhusika mwenyewe akawa online . . lakini kimya.
Mpaka watu wameweka notions tofauti . . . ndo lawama zinaanza kwamba watu wamekosa sympath/utu, wengine wanaulizwa umelipa sh. ngapi urudishiwe . . . LOL!
Unaweza ukawa na huruma na utu kiasi kwamba ukataka kujitwisha mzigo wa mwenzio.
Lakini kumbuka tu kwamba ( najua unaelewa), kumwambia mtu mzima mwenzio neno la kitoto pana matokeo yake...tofauti na mtoto kumwambia mtu mzima neno la kitoto/kikubwa!