Umeipenda..
I guess ni RIP tu walahi
Sasa hivi hatumi meseji labda ndio keshapumzikaHuu uzi bila scrn shot ya kameseji siamini bado.
Kama anakufa awahi mapema sio anatishia tu kwny msg
sasa mbona hutuagi? fata maelekezo kama hujaelewa muulize na hana jibu potezea eeebooMkuu yani unajua hadi ananitisha. Nimemuuliza swali, kuwa anavuta bangi? akanijibu kwa kifupi kuwa hata South Africa inaruhusiwa. yaani hadi muda ninavyotaipu hii comment bado sms zinaendelea kuingia za kuwaaga wanaJF!!
Mimi sina miaka 12 wala "mgonjwa" hana miaka 12 hahahahahahahh
anataja jina gani? mbona hilo sio lako!Zingine anataja majina yangu kabisa mkuu!!!
Sasa hivi hatumi meseji labda ndio keshapumzika
Mambo ya polisi naweza jikuta YAKATOKA KWA MJAMBAJI YAKAJA KWANGU MTEMA MATEUngeripoti polisi labda ungeweza kuokoa maisha yake
Mambo ya polisi naweza jikuta YAKATOKA KWA MJAMBAJI YAKAJA KWANGU MTEMA MATE
Kwa haraka haraka kuna kitu hapo, naweza sema wanajuana....Mimi kweli nikutxt mentor, mentor, mentor from no where????NAHUJA sijui ana miaka 12?