Unafuta kwenye jina.Zingine anataja majina yangu kabisa mkuu!!!
Unafuta kwenye jina.Zingine anataja majina yangu kabisa mkuu!!!
Kwenye redio na tv tutajuaje kama ni yeye? Labda aanze kutupatia jina lake halisi, pia hiyo isijekua kuna mhuni mmoja anakuchezesha akili ili baadae aombe msaada wa matibabu,Wanajf habarini za asubuhi.
Leo asubuhi nilipokea sms kutoka kwa mwanaJF mwenzetu Tutor B. katika ujumbe wake aliandika kuwa anaumwa sana.
Baada ya kusoma ujumbe huo nilimpigia akakata simu, akaandika tena sms akisema nisimpigie ila nitume sms kwa kuwa anaumwa sana kichwa na kwamba amezuiliwa kuongea na simu kwa muda wa siku 90.
Lakini sasa kitu ambacho sijamuelewa ni hizi sms zake ambazo ambazo alinitumia kwa mfululizo, Hapa nitazinukuu.
1.Wajulishe wanaJF, unisaidie kuwaaga
2.Waage kabisa, taarifa zingine mtapata kwa redio na TV
3. Waambie tuonane ulimwengu wa roho
Nikamuuliza swali, ina maana hutaingia tena JF? akanijibu:
4. Nitaingiaje wakati naenda kwa baba? Nasikitika kuondoka...
5. Najisikia kuhama ulimwenguni kuna sehemu nyingine nzuri zaidi
6. Vipi mbona unaguna? Pole kwa kunipoteza.
Na bado hadi muda huu anaendelea kunitumia sms za kuwaaga wana JF
Nimeona tu niweke huu uzi hapa maana, simuelewi huyu member kwa haya anayonitumia kwenye sms.
Ni yeye, ila sijui kavurugwa na kitu gani? tapeli asingejua hata za kuwaaga wanaJF.kama wamemzuia kuongea halafu wanamruhusu kuchat basi hawajamsaidia. Ila jihadhari uenda kaibiwa simu na wajanja
Napajua mkuu
Unatuthibitishiaje wakati hujaongea nae mkuu? Acha kuaminiamini smsHapana sio tapeli ni yeye kweli.
Kwenye redio na tv tutajuaje kama ni yeye? Labda aanze kutupatia jina lake halisi, pia hiyo isijekua kuna mhuni mmoja anakuchezesha akili ili baadae aombe msaada wa matibabu,
USHAURI:Nenda kamuone anakoishi ili ujue anaetuma sms ni yeye au laah!
Bado nashangaa.Pole kwake uzidi kutufahamisha kinachoendelea Dada.
Swali langu limelenga kwenye dondoo namba 2; bado hujanijibu. Ila nakushauri ukienda kumwona usiende peke yako, huyo mtu ana stress asijetumia huruma yako kukutafuna kirahisi.H
Hapana mkuu ni yeye
Ni yeye maana nimepiga namba zake zote ujumbe wake ni huo huo kuwa nimuagie wanaJF. hajaomba hela zaidi ku insisit kuwaaga wanaJF kuwa anakufa. halafu anatuma mameseji mengine hata hayasomekiKwanini usifanye utaratibu wa kupata Namba hata ya MTU alienae karibu? Unaweza kuta kaibiwa simu watu wanachezea tu contacts zake.
Jioni nikitoka hapa kwenye shughuli zangu, nitapita kwake. Ahsante kwa ushauri wako mkuuSwali langu limelenga kwenye dondoo namba 2; bado hujanijibu. Ila nakushauri ukienda kumwona usiende peke yako, huyo mtu ana stress asijetumia huruma yako kukutafuna kirahisi.
Una uhakika ni yeye? Siku hizi kuna wakora wengi. Subiri atakapokubomu hela ya kulipia bill hospitaliMkuu yani unajua hadi ananitisha. Nimemuuliza swali, kuwa anavuta bangi? akanijibu kwa kifupi kuwa hata South Africa inaruhusiwa. yaani hadi muda ninavyotaipu hii comment bado sms zinaendelea kuingia za kuwaaga wanaJF!!
Ndio tunajuana kabisa kabisa, hata ulabu tunapiga nayeMkuu unamjua physically??