min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 51,042
- 142,581
Hahahha kuku wafe bwashee, hawastahili kuishi na huku unanjaa.Duu ngoja niijibu hii niifanyie comeback ya kibabee
Hahahha kuku wafe bwashee, hawastahili kuishi na huku unanjaa.Duu ngoja niijibu hii niifanyie comeback ya kibabee
Haaahaa 😊 😅 🤣 😂alafu anakuja mtu kufananisha nyama ya kuku na uyoga
Hapa ndio natoka ngoja after half an hour nianze kuupa moyo poleee ZAKE kwa mchana kutwaa.Hahahha kuku wafe bwashee, hawastahili kuishi na huku unanjaa.
Kazi za kimasomo zinanikabili master naona nitamwagilia moyo weekend moja tu ya jpil bwashee.Hapa ndio natoka ngoja after half an hour nianze kuupa moyo poleee ZAKE kwa mchana kutwaa.
matalamu moja wa lishe alikua akinishauri juu ya ulaji wa uyoga huku akifananisha na kuku..nilimtizama sana sikumweliwaAkapimwe medulla haraka sana
Fuga kuku mangiDah! 😋Wakubwa mkiwa na hela mnafaidi aisee🥱
Tafuta hii beer, zipo sasa... 12% ABV, ukipiga hizi nne unaenda kulala..Hapa ni vodka bia tumbo litajaa mno 😋
12% hiyo inaonekana kitasa bwashe , hapo lazima mapaja ya kuchi yahusike kwanza tumboni🤔Tafuta hii beer, zipo sasa... 12% ABV, ukipiga hizi nne unaenda kulala..
![]()
Ni mihayo tu 🥱😔Fuga kuku mangi
Hiyo mtamu mpaka kisogoni imekaa kihenga sana 😂Mtamu mpaka kisogoni
😂😂😂😂alafu anakuja mtu kufananisha nyama ya kuku na uyoga
Usipo fuga kuu mapaja ya kuku hasa kuchi utayasikia na kuyaona kwenye bomba tu bwasheeNi mihayo tu 🥱😔
Kweli mtaalamu ni mihayo tu, natamani kweli mbuzi aiseeHahahaha😂😂😂😂
Macho yalivyo na maji na ule weusi🤮🤮🤮Usinifanye nitapikeMacho ya kuku mbona matamu tu bwashee?
Dah! Sawa bwanaUsipo fuga kuu mapaja ya kuku hasa kuchi utayasikia na kuyaona kwenye bomba tu bwashee