Hoja yenyewe ilivyokaa ni kifisadi fisadi kidogo. Kama ndugu ntaramuka upo kwenye payroll ya Lowasa, tuambiane. Pesa ngumu nchi hii.
Kubenea keep it up. Kuna sisi tunaokuunga mkono. Mimi sikosi kununua gazeti lako kila jumatano. Na la kesho nalisubiri kwa hamu.
--------------------------------------------------------------------------------
Tatizo la Kubenea ni njaa yake, kila uchao yeye na Lowassa ndio uandishi gani huo? Its really boring huyu jamaa ni wa kusamehewa tu. To my best knowledge in assessing leaders there no-one who ticks all boxes. Kubenea wimbo wake Lowasa, Lowasa kisa nini? kanyimwa matangazo! such a selfish guy....
__________________
Mambo si mambo mkulima kala mbegu, habari ndio hiyo!
Tatizo la Kubenea ni njaa yake, kila uchao yeye na Lowassa ndio uandishi gani huo? Its really boring huyu jamaa ni wa kusamehewa tu. To my best knowledge in assessing leaders there no-one who ticks all boxes. Kubenea wimbo wake Lowasa, Lowasa kisa nini? kanyimwa matangazo! such a selfish guy....
Masatu una lako jambo. Au wewe ni miongoni mwa walewale vibaraka?. Please, unsubscribe. You are in a wrong channel. Tune on to another direction, tena imaginary direction.
Binafsi ninamheshimu sana Said Kubenea kwani ni miongoni mwa waandishi wenye misimamo hasa kwa yale wanayoamini kuwa ni kweli, lakini wasiwasi wangu unakuja baada ya kusoma makala zake nyingi nimegundua zinamhusu Lowassa, kitu kilichonifanya nidhani kuwa kuna tatizo kati ya wawili hawa na si ufisadi kama anavyochukulia Kubenea kama mwanvuli.
Maana kila toleo, tena kwenye ''front page'', utakuta mara Lowasa hivi, mara Lowasa vile, ilimradi tu amseme Lowasa.
Sio kama ninamsemea Lowasa, hapana. Ila tu kama kweli Kubenea unania ya dhati ya kupambana na ufisadi, basi sema juu ya ufisadi na sio Lowasa tu kila siku, mbona kuna mafisadi wengi tu nji hii.
Leo ni Jumanne, kesho Mwanahalisi litakuwa mtaani, habari kuhusu Lowassa ninatarajia kuikuta tena kwenye front page.
Hata watu wa haki za bina damu wanasema "hate the the vice and not the person".
Nakushauri bwana Kubenea utafute namna nyingine ya kukemea ufisadi la sivyo watu wataanza kupoteza imani na wewe.
Maane,
Vipi mbona povu linakutoka? na wewe ni kibaraka wa nani? lete hoja acha chuki binafsi
Masatu una lako jambo. Au wewe ni miongoni mwa walewale vibaraka?. Please, unsubscribe. You are in a wrong channel. Tune on to another direction, tena imaginary direction.
Tatizo la Kubenea ni njaa yake, kila uchao yeye na Lowassa ndio uandishi gani huo? Its really boring huyu jamaa ni wa kusamehewa tu. To my best knowledge in assessing leaders there no-one who ticks all boxes. Kubenea wimbo wake Lowasa, Lowasa kisa nini? kanyimwa matangazo! such a selfish guy....
Huyu masatu tunamjua. alikuwa na genge lake. limesambaratishwa. amebaki yeye kama nyoka aliyekatwa kichwa. Ni kiwiliwiili tu hicho kinaviringika kwa maumivu.
Yego mwanawasu hata wewe??!!!!Tatizo la Kubenea ni njaa yake, kila uchao yeye na Lowassa ndio uandishi gani huo? Its really boring huyu jamaa ni wa kusamehewa tu. To my best knowledge in assessing leaders there no-one who ticks all boxes. Kubenea wimbo wake Lowasa, Lowasa kisa nini? kanyimwa matangazo! such a selfish guy....
Yego mwanawasu hata wewe??!!!!
Kubenea ametumia nafasi yake kupigana na mafisadi. Je wewe unayechomoza hapa kumtetea fisadi Lowasa umefanya nini kuupiga vita ufisadi?
Yaani hata wale ndugu zako wanaoteseka kule majita, kibara, nyambono, bwasi na kwingineko huwaonei huruma?hawana umeme na ukiwafikia gharama ni kubwa kwa sababu ya mikataba ya kifisadi aliyoileta huyu fisadi kwa mfano Richmond pesa waliyokuwa wanachota kwa siku ingesaidia shughuli ngapi za maendeleo kule nyumbani au mahali penginepo Tanzania?
Hujui kuwa hiyo fedha ingeweza kuwasaidia watanzania walioko bunda ambayo ni wilaya maskini sana mkoani mara na Tanzania kwa ujumla angalau kuwapunguzia machungu ya maisha?
ni wanafunzi wangapi wanakaa chini kwa kukosa madawati shuleni?ni wanafunzi wangapi wanakwenda kupoteza muda shuleni bila waalimu?hujui hizo fedha zingesaidia kupunguza uhaba wa waalimu?
Naamini kuwa haya yote unayajua isipokuwa umechagua fungu la ufisadi!
Kwa stili hii, kazi bado ni pevu katika kuwafungua macho wadanganyika.
.....Ka-BBQ nini Ka EddO???? Teh! teh!! tehhhhhhh!!!!!!!Wapiganaji wenzetu, Mbona mnatubania?? Ikoje hii ya Mwajabu?? Wengine ndio tunaisikia leo pengine kutokana na Our Ears Not being On The Ground Deep Enough!! Tujuzeni Tafadhali.
Tungeweza kufahamiana humu pengine wewe waweza kuwa niece, nephew, son, daughter or any close relative wa any FISADI in Tz. Au basi kuna kidogo unakatiwa huko. Au basi wewe ndiye yule ofisa anayekimbizana na mafaili ya mafisadi.
binafsi ninamheshimu sana said kubenea kwani ni miongoni mwa waandishi wenye misimamo hasa kwa yale wanayoamini kuwa ni kweli, lakini wasiwasi wangu unakuja baada ya kusoma makala zake nyingi nimegundua zinamhusu lowassa, kitu kilichonifanya nidhani kuwa kuna tatizo kati ya wawili hawa na si ufisadi kama anavyochukulia kubenea kama mwanvuli.
Maana kila toleo, tena kwenye ''front page'', utakuta mara lowasa hivi, mara lowasa vile, ilimradi tu amseme lowasa.
Sio kama ninamsemea lowasa, hapana. Ila tu kama kweli kubenea unania ya dhati ya kupambana na ufisadi, basi sema juu ya ufisadi na sio lowasa tu kila siku, mbona kuna mafisadi wengi tu nji hii.
Leo ni jumanne, kesho mwanahalisi litakuwa mtaani, habari kuhusu lowassa ninatarajia kuikuta tena kwenye front page.
Hata watu wa haki za bina damu wanasema "hate the the vice and not the person".
Nakushauri bwana kubenea utafute namna nyingine ya kukemea ufisadi la sivyo watu wataanza kupoteza imani na wewe.