Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Safi sana Halisi na wote mnaomuunga Kubenea mkono. Habari za Lowasa zime dominate media kwa kuwa kila kitu anachofanya private na official ni cha Kifisadi. Hakuna fisadi kama Lowasa Tanzania nzima, RA ni cha mtoto. RA is the best friend of EL ili tu kupata mipitishio ya mipango yake. He is clever kuwa karibu na political shots. Hata mpaka niingie kaburini hakuna wa kunishawishi kuhusu ufisadi wa Lowasa. Naona tena mnataka kuzua uzushi kwa Kubenea kama yale ya Aziz Mongi kumfungia Kubenea kisa deni la 50,000 na kumtangaza ndani ya jamvi hili. Jamani heshimuni hili jamnvi ni takatifu si la wazushi na la vibaraka wa mafisadi.
Lowasa anatumia mbinu zote kutaka kumaliza uhuru wa vyombo vya habari. Anatamani avinunue vyote kama RA basi tu plan hizo in vain. Kweli nimeamini humu jamvini kuna sisi tunaopinga mafisadi na wengine wanatubeza.
Marekani kama kweli watafungia mafisadi kwenda kwao basi waanze na Lowasa. Big up Kubenea, cheers dedicated JF members and guests. Shame to Fisadi's na vibaraka wao.
Maane, hiyo ina maana kuliko watu watakavyoiona kwa juu juu. New Habari si ya RA.... kuna jambo zito ndani yake. Wamekwishaingia katika media nyingine wanataka kuzinunua na tusishangae wakamiliki TV na radio zenye nguvu kabla ya mwaka 2010. NINA UHAKIKA NA HILI tutaijadili katika wakati mwafaka