Kuanzia tarehe 6 mpaka tarehe 8 hutaweza kufanya miamala ya TISS, au kwa lugha nyepesi, bank kwenda bank nyingine, Mtandao kwenda mtandao mwingine

Kuanzia tarehe 6 mpaka tarehe 8 hutaweza kufanya miamala ya TISS, au kwa lugha nyepesi, bank kwenda bank nyingine, Mtandao kwenda mtandao mwingine

torosi

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2020
Posts
1,114
Reaction score
2,088
Hii ni taarifa ya bank moja nimepata, hii inaenda kuathiri miamala karibia yote.

Chukua hatua mapema

Ndugu mteja, kutokana na maboresho yaliyopangwa ya mfumo wa TISS kuanzia tarehe 06/12/25 saa 06:00 usiku hadi tarehe 08/12/25 saa 10:00 alfajiri, huduma zote za uhamisho wa fedha au malipo nchini kupitia TISS hazitapatikana. Tafadhali hakikisha unakamilisha malipo yako yote kabla ya tarehe 06/12/25.

1000429839.png
 
Back
Top Bottom