Kuanzia tarehe 6 mpaka tarehe 8 hutaweza kufanya miamala ya TISS, au kwa lugha nyepesi, bank kwenda bank nyingine, Mtandao kwenda mtandao mwingine

Kuanzia tarehe 6 mpaka tarehe 8 hutaweza kufanya miamala ya TISS, au kwa lugha nyepesi, bank kwenda bank nyingine, Mtandao kwenda mtandao mwingine

Huyo nae tapeli tu... angekuwa wa maana angefanya kama wale vijana walichomfanya rais wa Tunissia (I stand to be corrected) mpaka akaachia nchi. Same boy who hacked CIA system
Wabongo rahisi sana kuamini mtu. Kesho wakija kufahamu huyo naye ni kama kina kigogo tu au Fatma Karume ndio akili zitawarudi
 
Taarifa ni kama ya kutunga acheni kutisha watu kwa maisha ya sasa una wezaje kukaa bila cash ndani?
tumia akili yako vizuri... iwe ya kutunga au la mo29 nilitoa hela zangu airtel ilinisaidia sana wakati watu wakihaha hao watoa huduma nao inawezekana wasiwepo si tamko moja tu... biashara inakufa
 
tumia akili yako vizuri... iwe ya kutunga au la mo29 nilitoa hela zangu airtel ilinisaidia sana wakati watu wakihaha hao watoa huduma nao inawezekana wasiwepo si tamko moja tu... biashara inakufa
Sawa
 
Jana nilikuwa nataka niingie kwenye akaunt yangu ya lipa namba ya Voda ikagoma
 
Hizi bank za kiswahili bwana😂
 
Hii taarifa ya kwel kabisa, sisi wateja wa BTD tumetumiwa hiyo sms
Chukueni taarifa hii kwa uzito mkatoe pesa zenu

Niliwahi kusisitiza ni lazima watu mtoe pesa zenu haraka iwezekanavyo kwenye mabenki ya Biashara

 

Watanzani niliwaambia nasisitiza tena, Toeni pesa bank as much as you can.

Serikali haitakuwa na uwezo wa kulipa madeni yake kama itaendelea kuwa Serikali hii, hivyo italazimika kugawana madeni na wenye pesa nyingi bank, na kitu kingine watafanya ni kuzuia capital flight (Kutuma pesa nje ya nchi) na Kingine ni hicho walichotangaza kufanya kati hizo tarehe, kuzuia watu kuhamisha hela kwenye bank ambazo wanaziona bank kubwa, hili wasiwe kwenye situation ya kuziokoa.


Watanzania msishupaze shingo kama Samia.
 
Chukueni taarifa hii kwa uzito mkatoe pesa zenu

Niliwahi kusisitiza ni lazima watu mtoe pesa zenu haraka iwezekanavyo kwenye mabenki ya Biashara

Nimesoma andiko lako mzee, ngoja tu tufanye hivyo
 
Back
Top Bottom