Sasa akifikia kugonganisha.......huo utakuwa ni u f a l a........kupitiliza........
Taratibu mama, mengine ni mambo ya ndani... hapa unawafaidisha akina mamaafacebook
kubali tu yaishe ndiyo viumbe hawa .. wewe hukuona dalili za kuachwa? wala usilazimishe mwache aende tena mwache kabisa wala usijutie hata kidogo mshukuru Mungu kukuepushia ushwetwaini wa huyo mwanaume .....
kuumia itauma ila mwache nasema tena mwacheeee kula raha bibie wala usiwaze....
tena mwambie sikupendi
Mi nawashangaa hata wakibadilisha wanawake ni wale wale
Watu wa namna hii waache waende zao tena kwa wemaa...kuwa muungwana kwake ile mbaya...halafu baadae litakapo geuka huko alipo...akikujia mkubali na wewe muache kama alivyokuacha wewe....Atasikilizia utamu...atalia kuliko wewe
rahisi ivyo?????????????
mfyuuuu mwone huko
Mbona ushadanganya tayari?
kwani ulikua huna kidumu...
Bwana wanaume ndio mara nyingi wanaanza. Ila inauma jamani, kwanini mnapenda kutuumiza. Ukipata tu kitu kipya changes zinaanza fasta hata kuficha ficha, Jaribuni kuwa wabunifu.
Jamani kwanini kila siku wanaume.
Nimedanganya wapi? Mpenzi wangu sijawahi kumdanganya
Tafuta mnyonge ulipize lakini haipunguzi maumivu hhhhhaaaa
Nilikuwa na mpenzi kwa muda wamiaka miwili lakini alikua aniambii ukweli.Siku moja nikaamua kumuuliza hivi nini malego yetu akajibu ninamsichana mwingine tena anarudi hivi karibuni kwahiyo tusitishe mahusiano.Naombeni ushauri wana JF
Pole
Hakuwa wako