Kuachwa kunauma jamani

Kuachwa kunauma jamani

Pole dada mm ndo ctak hata kuwackia hao yan nlitendwa nkaumwa nkahc kufa
 
njoo kwangu mtoto mzuri enheee
huyo alikuwa hakupendi

mimi nitakupenda milele daima
 
Mwache aende zake let him go for good, hawa viumbe ni viumbe wazito, yaani hawa bebeki kwa khanga,kitenge wala kaniki yaani sawa na zigo la mavi hata ufanyeje litatoa harufu tu.

enh wife bila shaka hapo hujanijumuisha na mimi...
 
Mwache aende zake let him go for good, hawa viumbe ni viumbe wazito, yaani hawa bebeki kwa khanga,kitenge wala kaniki yaani sawa na zigo la mavi hata ufanyeje litatoa harufu tu.

si bora liwe la mavi unajua utaenda kulitua chooni kuliko gurushi la nyuki linakugeuka muda wowote na kukuachia maumivu na sumu kali
 
Kuachwa au kuacha mtu uliyempenda kwa dhati inauma sana ILA sio mwisho wa maisha
shukuru Mungu huo kakwambia kuliko yule ambae anafanya visa kila siku ni pressure
Sali sana na usiruhsu maisha yako yarevolve kwa mtu mmoja
be thankful,kwa kile ulicho nacho(kila mtu ana ktu cha kuappreciate) inasaidia kuondokana na ile hali ya kujihisi kutokamilika
kaa na marafiki zako,have fun ila mambo yako usiyatoe
all the best
 
Tafuta mnyonge ulipize lakini haipunguzi maumivu hhhhhaaaa
 
Back
Top Bottom