kuachwa nijambo la kawaida, we siwakwanza kuachwa na wala hutakuwa wa mwisho!!so huna haja yakujipa stress zisizo na sababu. Mtu hata mahari haijatoewa unaanza kujidai umeumia?nyie mlikuwa sex mates tu, jipange uanze upya. utapata tu wakuweka naye malengo, and this time nivema mkadefine malengo ya uhusiano wenu mapema kuliko kusubiria last minutes. Narudia tena, kuachwa au kuacha ni jambo la kawaida, fungasha virago ukaanze maisha kwengine!! kumbuka.......PAIN IS INEVITABLE BUT SUFFERING IS OPTIONAL!!
umenena vema kibela, donatila njoo beba haya madini apa songa mbele tena huwezi kujua umeepushwa na nini huko mbeleni maana kila jambo hutokea kwa kusudi fulani so usijali mama utampata bora zaidi ya huyo cha msingi usiwe na papara chukua muda kuchambua pumba na mchele...!!