KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,765
- 39,506
Uongo wangu uko wapi...
Kwani hujawahi kumdanganya mwenzio....??
Uongo wangu uko wapi...
kubali tu yaishe ndiyo viumbe hawa .. wewe hukuona dalili za kuachwa? wala usilazimishe mwache aende tena mwache kabisa wala usijutie hata kidogo mshukuru Mungu kukuepushia ushwetwaini wa huyo mwanaume .....
kuumia itauma ila mwache nasema tena mwacheeee kula raha bibie wala usiwaze....
tena mwambie sikupendi
Kuachwa au kuacha mtu uliyempenda kwa dhati inauma sana ILA sio mwisho wa maisha
shukuru Mungu huo kakwambia kuliko yule ambae anafanya visa kila siku ni pressure
Sali sana na usiruhsu maisha yako yarevolve kwa mtu mmoja
be thankful,kwa kile ulicho nacho(kila mtu ana ktu cha kuappreciate) inasaidia kuondokana na ile hali ya kujihisi kutokamilika
kaa na marafiki zako,have fun ila mambo yako usiyatoe
all the best
Sasa ndo ukahamishia makaz kwingine mwanaume mbaya ww
Ili ushanikera weye yaani sina hamu na wewe kabisaaa,mwanaume gani una mambo mengi kaa maji
Ana mambo mengi kama super glue kila kitu kinagandisha
kwani amekwambia amengonoka? ukoje wewe?
Nilikuwa na mpenzi kwa muda wamiaka miwili lakini alikua aniambii ukweli.Siku moja nikaamua kumuuliza hivi nini malego yetu akajibu ninamsichana mwingine tena anarudi hivi karibuni kwahiyo tusitishe mahusiano.Naombeni ushauri wana JF
Ukome kufanya ngono kabla ya ndoa. Amekukomesha kweli. Tulia sasa, subiri upate mwanaume wa kufunga ndoa.
Kuna thread imeanzishwa huku ati kauliza kwanini wanawake walioachwa hupenda sana kusali/ kumwomba mungu
Men men men....!!!
nilikuwa najitahidi kuficha ila siku zinavyozuidi kwenda naona unalipuka na unakuja kwa kasi kwa namna navyo yaona maovu yenu yanaongezeka
angalia isije kuwa ni raha za dada kwa dada😛eep:aje nimpe maujanja yakula raha
Kwani hujawahi kumdanganya mwenzio....??
astaghaful.......
ha ha hii ndiyo nzuri
Nilikuwa na mpenzi kwa muda wamiaka miwili lakini alikua aniambii ukweli.Siku moja nikaamua kumuuliza hivi nini malego yetu akajibu ninamsichana mwingine tena anarudi hivi karibuni kwahiyo tusitishe mahusiano.Naombeni ushauri wana JF
Huwa sidanganyi mimi
nilikuwa najitahidi kuficha ila siku zinavyozuidi kwenda naona unalipuka na unakuja kwa kasi kwa namna navyo yaona maovu yenu yanaongezeka