Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,797
Sikua nacho kidumu
Next time ndo uanze kuweka vidumu
Sikua nacho kidumu
haisaidii kitu hiyo astaghaful
Pole best kubali kabisa kwamba ndiyo mwisho,mshukuru Mungu kwa kukuepusha na janga hilo,sasa jipende mwenyewe sana kuliko ulivyokuwa unajipenda mwanzo,kula vizuri,piga pamba za uhakika,fanya kazi kwa bidii jipe muda mzuri wa kupumzika na ukipumzika usimuwaze kabisa mawazo yakikuzidi jichanganye na watu,fanya ibada sana, Kamwe kamwe usifanye haraka ya kuwa na mpenzi mpya,Mungu akujaze amani na furaha kuu usahau machungu yote
Kesho anaweza kuja hapa kutoa ushahidi kwamba wamerudiana. Uwe makini unapotoa ushauri. Ndio maana mie huwa nasema: HAYATUHUSU. Simple as that!!
kwani ulikua huna kidumu...
huwa sitoi advance mkuu wewe njoo upige kazi basiULE MPANGO WA YULE BABA'KO MDOGO VIPI?
NIMEWASILIANA NA MCHIZI WANGU YUKO XWANGA
ATAKUSAIDIA
PM KWA NAMBA YA M PESA UTANGULIZE ADVANCE KAPSA MAE:A S wink:
Ya nn ujipe shida maisha yenyewe magumu haya!!
Kitu ambacho ni kosa kubwa sana........next time ajitahidi kuwa na varieties..........
angalia isije kuwa ni raha za dada kwa dada😛eep:
Kusitisha mahusiano maana yake nini?
mmmh... ngoja siku agonganishe, atatamani ardhi ifunguke adumbukie