Kuachwa kunauma jamani

Kuachwa kunauma jamani

Donatila Let it go dear, you deserve the best!
 
Last edited by a moderator:
Km mimi 2 msichana mmoja nilimuuliza nn hatima yng na yy akanijibu kwanza dume langu linarudi toka Mozambiki kwa hiyo nisimsumbue tena.....yaani since dat day mm na mademu hazipandi kabisa.
 
nadhani next time utakuwa umejifunza. kaa mguu ndani mguu nje
 
"Tusitishe mahusiano"....duh! ilikuwaje ukawa nae huyo? ni wazi hakuwa sayari moja na wewe yani.....pole!
 
Wanaume bwana wanaweza kukuvuruga haswaaaa sasa km huyu anauliza afanye nini?chapa lapa eboh!!!
 
Nilikuwa na mpenzi kwa muda wa miaka miwili lakini alikuwa haniambii ukweli.Siku moja nikaamua kumuuliza hivi nini malego yetu? Akajibu nina msichana mwingine tena anarudi hivi karibuni kwahiyo tusitishe mahusiano.

Naombeni ushauri wana JF.

usijali hayo ndo maisha hauko peke yako shukuru na songa mbele
 
Unanikumbusha siku nilipo ambiwa chagua moja utanioa mwaka huu au niruhusu watoe posa wenzio jumapili
 
Bila shaka uliamua kusepa maana hukujua kuna njemba nyingine mlikuwa mnakula naye sahani moja.




Unanikumbusha siku nilipo ambiwa chagua moja utanioa mwaka huu au niruhusu watoe posa wenzio jumapili
 
Last edited by a moderator:
Usjal. Tumeumbwa tukutane na watu ambao sio, ili tutakapokutana na ambao ndio tuwe imara zaid. MUNGU AKUTANGULIE
 
Back
Top Bottom