Kuachwa kunauma jamani

Kuachwa kunauma jamani

kubali tu yaishe ndiyo viumbe hawa .. wewe hukuona dalili za kuachwa? wala usilazimishe mwache aende tena mwache kabisa wala usijutie hata kidogo mshukuru Mungu kukuepushia ushwetwaini wa huyo mwanaume .....

kuumia itauma ila mwache nasema tena mwacheeee kula raha bibie wala usiwaze....

tena mwambie sikupendi

moyo u radhi lakini mwili ni dhaifu
 
Watu wa namna hii waache waende zao tena kwa wemaa...kuwa muungwana kwake ile mbaya...halafu baadae litakapo geuka huko alipo...akikujia mkubali na wewe muache kama alivyokuacha wewe....Atasikilizia utamu...atalia kuliko wewe





Nilikuwa na mpenzi kwa muda wamiaka miwili lakini alikua aniambii ukweli.Siku moja nikaamua kumuuliza hivi nini malego yetu akajibu ninamsichana mwingine tena anarudi hivi karibuni kwahiyo tusitishe mahusiano.Naombeni ushauri wana JF
 
njoo kwangu nami wangu kanambia wake wa mwanzo karudi......
 
ndiyo unataka nimpe moyo wa uongo kwamba ajipendekeze au alazimishe au alielie hakuna hiyo kitu ukiachwa tafuta njia nenda unakuwa na alternative ya haraka sana

Usilie wala nini kwani maisha bila yeye hayaendi? Ndio amekupotezea muda ila usijali jipange upya achana naye.
 
ushaur gan hapo..... tena wakati jibu lipo clear kabisa hilo...... kubali yaishe kulazimisha penzi ni hatar sana ndugu utaumia yataisha
 
Nilikuwa na mpenzi kwa muda wamiaka miwili lakini alikua aniambii ukweli.Siku moja nikaamua kumuuliza hivi nini malego yetu akajibu ninamsichana mwingine tena anarudi hivi karibuni kwahiyo tusitishe mahusiano.Naombeni ushauri wana JF

Ukome kufanya ngono kabla ya ndoa. Amekukomesha kweli. Tulia sasa, subiri upate mwanaume wa kufunga ndoa.
 
Watu wa namna hii waache waende zao tena kwa wemaa...kuwa muungwana kwake ile mbaya...halafu baadae litakapo geuka huko alipo...akikujia mkubali na wewe muache kama alivyokuacha wewe....Atasikilizia utamu...atalia kuliko wewe

Wala usilie, na usimrudie tena amekufanya wa nini na wewe mfanye wa kazi gani. Maisha Yapo na yanaendelea kuwepo. Aanze tu mbele kwa mbele.
 
Usilie wala nini kwani maisha bila yeye hayaendi? Ndio amekupotezea muda ila usijali jipange upya achana naye.

kuendelea kupoteza mda kumfikiria atajiona mwamba ... ni nduki kama umeona hatari vile mpaka anajishtukia
 
ulishagegedwa wewe imekula kwako nani kakwambia upanue miguu wakati hujaolewa.
 
Pole best kubali kabisa kwamba ndiyo mwisho,mshukuru Mungu kwa kukuepusha na janga hilo,sasa jipende mwenyewe sana kuliko ulivyokuwa unajipenda mwanzo,kula vizuri,piga pamba za uhakika,fanya kazi kwa bidii jipe muda mzuri wa kupumzika na ukipumzika usimuwaze kabisa mawazo yakikuzidi jichanganye na watu,fanya ibada sana, Kamwe kamwe usifanye haraka ya kuwa na mpenzi mpya,Mungu akujaze amani na furaha kuu usahau machungu yote
 
Back
Top Bottom