Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,824
- 113,409
We shetani kweli wewekuwa mwema au kujali
We shetani kweli wewekuwa mwema au kujali
Kutubu vidondandio inatumika kufanyia nn
😅😅 Na wewe ni mmoja wao au ?Hio ya pili hio 🙌😂
Pepsi iliyoganda
Nna addiction kali mno na Coca-Cola 🙌
Miaka ile niliona mzee ni mkatili sana, kumbe alikua sahihi...😜Mimi nataka nimjengee baba yako mnara wa heshima, pale hospitali alipowalaza wale ndugu zenu waliokuja kuwatembelea
nusu albino weweWe shetani kweli wewe
Unauliza tena 🤣😅😅 Na wewe ni mmoja wao au ?
ZOte ulizo zitaja siwezi kuzi acha😂1.Kuongea mwenyewe kichwani ( siyo kichaa )😅 ni kama vile mawazo ila yanakuwa mfumo wa mazungumzo
2. Ku google waigizaji wa series/movie pale inapoisha
3. Kuangalia Movies/series na WWE
Watu waliosoma sana ndiyo wana hiyo tabia ya kuongea wenyeweMovies na series, ku google waigizaji baada ya kumaliza movie au series na kuongea mwenyewe kichwani
😂😂 hiyo hainifanyi hivyo hataNdio maana kuna muda majibu yako yanakuwa high sana🥲
Dah!Mie mwezi ujao nagonga mwaka 🙂