Kitu gani kilikufanya ujitafakari

Kitu gani kilikufanya ujitafakari

chai ya rangi

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2026
Posts
1,037
Reaction score
3,080
Mimi nilikia najichukulia poa lakini kuna siku wanawake wawili walinipigania.

Walipigana haswa hadi balozi alikuja kuamua na kila moja alipigana na mwenzake kwasababu wote walikua wananipenda sana hawakutaka kunipoteza, kilichosaidia balozi alikuja kuwaamua na tangu hapo nilijitafakari upya na kuona kuna watu walipigana kwaajili yangu.

Je, ni kitu gani kilikufanya ujitafakari upya ?
 
Mimi nilikia najichukulia poa lakini kuna siku wanawake wawili walinipigania.

Walipigana haswa hadi balozi alikuja kuamua na kila moja alipigana na mwenzake kwasababu wote walikua wananipenda sana hawakutaka kunipoteza, kilichosaidia balozi alikuja kuwaamua na tangu hapo nilijitafakari upya na kuona kuna watu walipigana kwaajili yangu

Je ni kitu gani kilikufanya ujitafakari upya ?
Nyota ya ukimwi hio hamna lolote
 
Mimi nilikia najichukulia poa lakini kuna siku wanawake wawili walinipigania.

Walipigana haswa hadi balozi alikuja kuamua na kila moja alipigana na mwenzake kwasababu wote walikua wananipenda sana hawakutaka kunipoteza, kilichosaidia balozi alikuja kuwaamua na tangu hapo nilijitafakari upya na kuona kuna watu walipigana kwaajili yangu.

Je, ni kitu gani kilikufanya ujitafakari upya ?
Kuna mdada kaniambia ana mimba yangu,hili limenifanya nijitafakari sana maana sikuwa natarajia hichi kitu kwa saivi.
 
Back
Top Bottom