Kitu gani umeshindwa kuacha moja kwa moja

Kitu gani umeshindwa kuacha moja kwa moja

Tangu tarehe 1 January mwaka huu sijajichukulia sheria mkononi sijatazama wala kufanya jitihata za kupata video yoyote ya utupu ama yenye sex emotions nakwepa kabsa post zaaina hiyo kwenye social media

So far hii ni greatest achievement kwenye maisha yangu i was a slave

Naitafutia dawa ya kuacha kabisa mikeka japo sipo addicted naweza kukaa muda mrefu bila kubet tena stake za burudani sio kujimaliza lakn nataka niache kabisa

Mafanikio ya kiakili ni kuweza kuacha kufanya vitu ambavyo ni vibaya japo ungeweza kuvifanya kwa siri

Tuendelee kupambana na haya mauraibu
 
Back
Top Bottom