Kitu gani umeshindwa kuacha moja kwa moja

Kitu gani umeshindwa kuacha moja kwa moja

Game la mpira huwa lipo addictive sana, ukiweka zako ligi unaweza cheza siku nzima, mi huwa napenda kucheza Fifa na mortal kombat ila ya misheni huwa yananishinda nilijaribu kucheza far cry 2 nikashindwa nikaweka pembeni 😅
Mimi ni mpira na mission games ni GTA na PUBG kwa mbali
 
1.Kuongea mwenyewe kichwani ( siyo kichaa )😅 ni kama vile mawazo ila yanakuwa mfumo wa mazungumzo
2. Ku google waigizaji wa series/movie pale inapoisha
3. Kuangalia Movies/series na WWE
Hiyo na 2 na Mimi nipo hivyo🙌😂
 
Hi people,

Title inahusika,

Mimi Skanka

Wewe je?
Basi leo nimejua kuna siku niliandika post kwa njia ya utani ukajibu serious sana nami nikakasirika sema baada ya siku kadhaa I let it go kwasababu nina roho hiyo ya kuachilia au to let it go. Mimi pia nilishawahi kuvuta bangi na i smoke from time to time ila i wanna let it go kwasababu hapa nilipo tu akili yangu ni kama nimevuta bangi so huwa nikivuta inakuwa ni as twice as this, can you imagine katika uvutaji wangu nilishawahi kuwaza mimi general na ninameamuru vita??
 
Back
Top Bottom