Swali lako zuri sanaMfano umeajiriwa unatafutaje pesa kwa bidii?
Kuajiriwa sio gereza kusema una shinda humo siku nzima, no one is busy we just differ in priorities.Mfano umeajiriwa unatafutaje pesa kwa bidii?
Umajiriwa gerezani au?? 🤔 🤔 🤔.Mfano umeajiriwa unatafutaje pesa kwa bidii?
Nimekuelewa lakini ni ngumu, yani utoke kazini saa kumi uingie mtaani kufanya kazi utafute pesa? Unapumzika saa ngapi kujiandaa na kesho job? Ukisema ufungue biashara umuweke mtu ndio unakula za uso kwasababu naamini biashara inakuhitaji wewe mwenyewe mda mwingi.Kuajiriwa sio gereza kusema una shinda humo siku nzima, no one is busy we just differ in priorities.
uki toka kazini saa 8 au 10 jaribu kupanga hustle zako nyingine, kasome na jifunze kuhusu leverage.
Kuna mzee nafikiri yupo around 60+, huwa nakutana nae asubui saa 11 ana uza maji yale ya madumu.Kila nkiwaza ntazeeka aisee sitaki kuwa babu muomba hela. NEVER!!
Hapo kwenye kutega Nimekuelewa mkuu.Umajiriwa gerezani au?? 🤔 🤔 🤔.
Hata hivyo hela haitafutwi, bali Inategwa,
Umekuwa honest enoughpussy
Narudia no one is busy we just differ in priorities, kitu kikiwa muhimu kwangu naki fanya hata kama the odds are against me.Nimekuelewa lakini ni ngumu, yani utoke kazini saa kumi uingie mtaani kufanya kazi utafute pesa? Unapumzika saa ngapi kujiandaa na kesho job? Ukisema ufungue biashara umuweke mtu ndio unakula za uso kwasababu naamini biashara inakuhitaji wewe mwenyewe mda mwingi.
yeah bro.. nmeshapambana sana kupunguza ngono ila nmeshindwa mwisho wa sku nimeamua tu iwe starehe yangu siwezi pitisha wiki bila kuvuta pisi kaliUmekuwa honest enough
Nakubali mkuu.Narudia no one is busy we just differ in priorities, kitu kikiwa muhimu kwangu naki fanya hata kama the odds are against me.
saa 10 mbona badi mapema mkuu?, kuna kipindi nilikuwa nina session 4 za mishe zangu.
Saa 11 asubui hadi saa 3, saa 3 hadi saa 8, 8 - saa 12 , saa 12 -4.
Bado Nilikuwa active jf, hadi trudie ali wahi uliza nalala Saa ngapi 🤣 😂.
Kuibiwa haku epukiki, ina tegemea na muhusika Ume jipanga vipi.