Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

Mimi ni shahidi kwenye hili, Kwanini mara nyingi nyie wadada, tukiwahonga pesa na kuwaonesha upendo wa kweli, mnatupiga na vitu vizito kichwani na kutuona mafala, Yani utakuta labda unavunja benki na kujitutumua, unamnunulia mdada kitu fulani kwa upendo, halafu hapo hapo anakujibu kunya na kwa ukatili, hivi huo ni u-lusifa, au ushetani wa aina gani? Kama humpendi Mtu atleast kuwa gentle and honest about it.

Nimekuja gundua binadamu mwanamke na hata sisi wanaume, hajali ni jinsi gani unampenda, bali anajali kipi anafaidika toka kwako kipesa au anakupenda vipi, nimegundua hata nikihonga gari, nikiandika sms refu kila siku kama gazeti ya kuonyesha nampenda, nikibembeleza, nikipiga simu kila mara na kumfuata fata mwanamke, kama huyo mwanamke hanipendi hio ni kazi bure, kwahiyo sahivi sijichoshi kuonyesha upendo, natongoza Muda mfupi baadae napita hivi.. Espy Atoto Yna2 Kelsea mawardat mzabzab Extrovert
Nihonge Mimi alafu uone namna dunia utakavyoiona pepo
 
Nikikuhonga utanionesha upendo feki, ili uendelee kunipiga hela, coz kuna uwezekano wa asilimia 90 mimi sio type ya mwanaume unaemtaka kwenye swala la muonekano Yna2
😂😂😂😂Jaribu uone..sinaga upendo fake kisa pesa..sema acha uoga
 
Niliwahi kumhonga dem wangu simu ya laki mbili na nusu.

Nakumbuka kipindi hiko nipo chuo halafu Blackberry ndio zipo kwenye trend kila mtu anataka atumie black berry ajiunge BBM.

Chuoni nilikua na pisi kali chuo kizima hakuna mpaka malecturer walikua wanamtolea macho. Alikuaga anatumia Nokia Asha. Mnyamwezi bumu lilivyotoka nikafunga safari mpaka Posta nikachomoa laki mbili na nusu nikanunua simu mpyaaaaa ktk boksi.. lengo nimpelekee kama surprise!!! Ilikua blackberry curve...

Nimefika hostel fasta nikazama room kwake, tukapiga story mbili tatu nikamtolea cm nikamwambia baby zawadi yako hii. Hakushtuka.. akaiangalia kama taka taka halafu akaniambia baby hii cm sijaipenda watu wengi wanatumia cm kama hii! Mie nataka HTC desire (wakati huo ilikua inauzwa 350k) [emoji18][emoji18][emoji18].. ila aliishi nayo hivyo hivyo mpaka ilipokuja kuharibika...
Ilikuwa ni LAZIMA udisco chuo, kwa sababu hukujua ulichokifuata kule chuo.

Thats why wenzio waliojua kwa nini wapo chuo waliendelea na kumaliza salama.

Watoto wa walalahoi mnatia sana aibu, unasoma kwa boom then unaleta uzembe mpaka kudisco.

Huwa mnaleta mjini ushamba wa mikoani, kuna haja ya ninyi watoto wa walalahoi kupewa semina kabisa.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
nilianza na i phone 6 tano, i phone x ,i phone 11pro mbili na 13pro plus mitaji ya 20m na pesa za kila mara 30k,50k,100k plus outing hao ni mademu tofauti na bado naendelea na huu ujinga sijui nitaacha lin[emoji24] vijana wengi hayo ndo maisha yetu sema ni ngumu kumwambia mtu ila tuna umia sana linapokuja suala la mapenzi.kazi iendelee
 
Umenikumbusha mbali sana nlikua na li baa med ilo lizuri alafu litamuu balaa

Nlikua nkienda ijumaa narudi jumapili jioni ghetto [emoji3]
Nkifika pale skuiyo oda zake zotee atapiga chini ni mimi tu

Nkipita kila kona iyo bar naitwa shem shem ila haya maisha

Basi nawapa k vant kubwa 3 wanakua wanakua wanaboost ili wakaombe savanna vizurii [emoji3]

Aisee ngoja niishie apooo
 
Ngoja niwape mkasa wangu

Katika watu wepesi kuhonga ni mimi kipindi sijapigwa na kitu kizito kichwani baada ya kupigwq na kitu kizito akili ili kaa sawa na nikaanza rasimi kuhonga ipasavyo ila kwa utaratibu hata akinipiga na kitu kizito hakuna anaweza fanya zaidi atajiharibia maisha yake ....


huyu nimekaa nae mwaka na miezi kadhaa nikaamua kuwekeza kwake..kwa sbb nimemuona nammudu.

Tv inch 43 laki 700k
friji 620k
dstv 74k na ufundi
mtungi wa gas 95k na kifaa chake
jiko la gas n frame 170k
cmu yake alitoa kiasi nikaongza n S9 + n 100k.

vingine nimesahau kodi ya alipopanga nimemwambia alipe baba yake au atafute anakojua nilimkuta anagodoro na kitanda na baazi ya vitu.

nikifika kwake kama kuna mtu yupo atatolewa lbda rfik zke wawepo kuibiwa kwenye mahusiano kupo hilo halini zuu kufanya maisha.


saivi nafikilia kununua sofa la watu wanne akalie kwa sababu ya tabia yake,uchi hanibanii na anapika vizuri hana usumbufu ila mimi ndio nazingua.

hivyo vitu vyote risiti na mashahidi ninao muda wowote anaweza mpiga na kitu kizito .

Nategemea miezi ijayo nimfanyie sherehe ya kuazliwa kwake nimemuambia sihitaji mchango wowote waje wale wanywe waondoke.
Endelea kuchezea pesa siku utakuja kutuomba ushauri apa ukilia

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mwaka 2011 nilikuwa na mahusiano na dada mmoja wa chuo cha SAUT anaitwa H jina la Baba linaanzia S..
kwa sasa ni mwalimu wa secondary .
Ni mke wa mtu kwa sasa.

Dada nilimpenda Sana,,

Kipindi hicho kabla ya Mambo ya miamala ya simu.
Nilikuwa namtumia pesa kwenye ACC ya bank.
Nakumbuka niliangalia pay slip za bank zilifika kama 1.8 milioni..
Hizo ni za bank Tu,wacha zile za kumpa cash.
Mwaka fulani nilikuwa Greece nikamtumia euros 300 za matumizi ,
nusu azimie hapo ofisi za western union.

Nilikuwa nikitoka south namtumia kwa basi viatu made from SA pairs 30 auze hapo chuoni ili ajikimu na maisha..
Hizo simu za kila mara blackberry torch, carved/Samsung Corby na HTC ndy kama kawaida kubadilisha.

Na mwisho wa siku,
akanichoma na kitu chenye incha Kali moyoni.,
na kunimalizia kwa kunipiga na kitu kizito kisogoni.

Nilikwenda mwanza mara 2 tulionana mara 1 kwa kisingizio cha discussion.

Nikifikirie zile gharama roho inauma Sana.
Kwa kipindi kile ningenunuwa shamba bunju sasa napiga pesa..
Duh pole sana
 
Tena aliniacha kinyama Sana,

Kuna simu yake fulani iliharibika kioo,
ikabidi anipe nimbadilishie kioo,

Baada ya simu kupona, nikagunduwa madudu mengi Sana kwake kupitia phone's sms ambazo zilibaki kwenye simu yake.

Baby mbona Jana nimekuwekea chakula lakini umesusa ?
Najuwa hunipendi Ila mimi nakupenda Sana kuliko mwanaume yeyote..
Hakika wewe ndy chaguo langu.

Moja Kati ya sms zake niliizozikuta kwenye simu yake ,
Kwa kwl niliumia sn..
Nikiangalia hata pesa ya Kodi ya chumba anapoishi nalipa Mimi.

Baada ya kucopy namba ya yule jamaa mlengwa ,,
nikaamua kumpigia simu,

Jamaa akafunguka kwamba hana mipango na yule demu zaidi ya kugegeda tu.

Nikarudi kwa yule mrembo wa chuo kumpigia simu.
Nikamuuliza kuhusu SMS na nimempigia jamaa amekiri kuwa na mahusiano.

Kabla hajakaa simu yangu
Akaniambiya ,,

Sasa Mimi nikusaidiaje kwa Mfano?
Ndy mwisho wa mapenzi yetu hadi sasa mwaka wa 11 sijawahi kumuona hata kwa bahati mbaya.
Kwa hii situation mie ningemteka haki ya mungu. [emoji34][emoji34][emoji34]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom