Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

Dem wangu next week anasafiri niliplan kumpeleka kariakoo for shopping week hii nilipanga kuunguza ka laki mbili kabisa ila kupitia huu uzi simpeleki tena asee tho she loves me so so much, nitamtafutia sababu ila nauli nitampa tuu.

Safarini anakutana na vijana wa rikiboy. Wazee wa kula kimasihara. Pocket money ya safari anaenda kuila na kijana mmoja
 
Mi nikimpenda mwanamke nampa kila ninachoridhika kutoa na ninachoweza kukitoa kwa wakati huo, kama nisipompa nani ampe sasa, as long as wote tunanufaika sioni kama ninahonga, asiwe omba omba tuu...kama sina, inabaki hivyo sina atafute namna nyingine
Hapo sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu acha usinitoneshe vidonda.

Jana tu apa kunademu nimemuhonga Redio ya Bluetooth zile za kichina .
kwa shariti la kupewa mzigo mpka sasa iv simu zangu apokei na wala msg zangu ajibu .

Apa nasubiri jioni ifike niende kwao nikadai changu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani
 
sema sisi wahongaji tunaumia sana kama ukimuona demu haieleweki yupo kwako kwa ajili ya vitu unavyompa na sio kama tuna honga ila tunawapa kwa ajil ya upendo ili wasiwe na tamaa! ila mwisho wa siku ni maumivu maana jinsi unavyompa ndo unajitengenezea maumivu makubwa sana huko mbeleni
 
sema sisi wahongaji tunaumia sana kama ukimuona demu haieleweki yupo kwako kwa ajili ya vitu unavyompa na sio kama tuna honga ila tunawapa kwa ajil ya upendo ili wasiwe na tamaa! ila mwisho wa siku ni maumivu maana jinsi unavyompa ndo unajitengenezea maumivu makubwa sana huko mbeleni

Fact mzee. Me niliwah kuhs maumv mpk kutetemeka manzi sijui alifeli wap maskini.
 
Umenikumbusha mbali sana nlikua na li baa med ilo lizuri alafu litamuu balaa

Nlikua nkienda ijumaa narudi jumapili jioni ghetto [emoji3]
Nkifika pale skuiyo oda zake zotee atapiga chini ni mimi tu

Nkipita kila kona iyo bar naitwa shem shem ila haya maisha

Basi nawapa k vant kubwa 3 wanakua wanakua wanaboost ili wakaombe savanna vizurii [emoji3]

Aisee ngoja niishie apooo
Wakati huo ulikuwa unasoma chuo?!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom