Mlikuwa mnawacheka Mataga , sasa kilio kimeamia kwenu ahahahhahahGaidi alikuwa jingaman magufuli, sasa hivi kamrithisha mrembuaji
You are prejudiced.Kwani wewe unajua Nini mkuu. Akikosea Mbowe sio kosa. Eti are they seriously going on with it? Who are these „THey. „
Jpm pamoja na mabaya yake wanayosema Chadema hakuwahi kumpa kesi ya Ugaidi mwenyekiti wa wachaga na Chadema Mr Mbowe sasa Serikali ya Muhula ya 6 mliyokuwa mnaipamba na kuimba nyimbo za kusifu na kuabudu kwa roho mbaya zenu juu ya JPM anamweka ndani Mwenyekiti wenu na Kesi ya Ugaidi sasa Mbowe yupo kundi Moja na Osama
Hutaki polisi wafanye kazi?Kwahiyo Mweshimiwa Rais ameamua kuwa mjinga kihasi hiki.
They’re not gonna go all the way with it.Are they seriously going through with it?
Amandla...
Duh...what kind of question is this?Are they seriously going through with it?
Amandla...
mbona mnaingilia Uhuru wa mahakama? ebu tulieni mahakama itatupa majibu wacha kujifanya unamjua sana MboweMama Samia kwenye hili mimi na wewe hatukubaliani kabisa... kamwe Mbowe awezi kuwa gaidi na wala si gaidi bali ni mmoja wa watu wema kabisa ....pamoja na kumpeleka mahakamani lakini ukweli ni kwamba haya mashitaka yake yanatia shaka sana....
Mbowe awezi kuwa gaidi kamwe
Let us wait and see...They’re not gonna go all the way with it.
Lengo lao ni kumsumbua na kumnyanyasa tu.
Akijulikana ni gaidi ni lazima ashughulikiwe kwa mujibu wa Sheria, hatuwezi kumuonea aibuKesi ya ugaidi huwa ngumu sana ku deal nayo.
Namwomba kaka Mbowe aachane na ugaidi. Haulipi