KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,708
- 4,428
I hope Serikali ina ushahidi
Otherwise this is a distasteful circus
Otherwise this is a distasteful circus
Rais ni polisi? Rais ni mahakama? Acheni vyombo vya usalama vifanye kazi yake, Mbowe asituhumiwe yeye ni nani hasa?Kwahiyo Mweshimiwa Rais ameamua kuwa mjinga kihasi hiki.
huyu kibaka kutoka kundi la FISIem nae kesi yake imeishia wapiSheria ifate mkondo wake, kama ni mkosaji ashughulikiwe
Nyani Ngabu, yote hayo at what cost? Atarudi wapi kutoka hapa walipofika?They’re not gonna go all the way with it.
Lengo lao ni kumsumbua na kumnyanyasa tu.
Let us wait and see...
Yule mama amejipambanua ni mpenda haki na maridhiano, kwa jinsi hii kesi inavyoenda itakua Ina mambo mazito sana.
Naona kuna watu wamejipanga kupiga kelele tu ili yasiwepo masikilizano yaani hawataki hata kujua bwana Mbowe amefanya ugaidi upi?!
Ni muda wa mama kuonyesha msimamo mathubuti na dunia ielewe na kuheshimu hilo. Kila mtu atavuna alichopanda.
Nchi haiwezi chafuka kwa ajili ya Mbowe or CDM, kuna sababu za kuchafua nchi ila siyo hao matapeli wa kisiasa, alitandikwa risasi Lissu na nchi ilisonga mbele sembuse kushtakiwa kwa Mbowe? Maandamano ya kushinikiza Mbowe aachiwe ni lini na wapi kamanda?Hii kesi itachafua nchi kuliko Mbowe na CHADEMA hakuna ugaidi Tanzania
Hata Wewe Kwani unajua nini, mkuu? Mbowe amekosea nini? They ni wao, hao wabambikia kesi bila ushaidi, wajinga wasiojulikana!Kwani wewe unajua Nini mkuu. Akikosea Mbowe sio kosa. Eti are they seriously going on with it? Who are these „THey. „
Yule mama amejipambanua ni mpenda haki na maridhiano, kwa jinsi hii kesi inavyoenda itakua Ina mambo mazito sana.
Naona kuna watu wamejipanga kupiga kelele tu ili yasiwepo masikilizano yaani hawataki hata kujua bwana Mbowe amefanya ugaidi upi?!
Ni muda wa mama kuonyesha msimamo mathubuti na dunia ielewe na kuheshimu hilo. Kila mtu atavuna alichopanda.
Akijulikana ni gaidi ni lazima ashughulikiwe kwa mujibu wa Sheria, hatuwezi kumuonea aibuKesi ya ugaidi huwa ngumu sana ku deal nayo.
Namwomba kaka Mbowe aachane na ugaidi. Haulipi
huyu kibaka kutoka kundi la FISIem nae kesi yake imeishia wapi
SAWA MBOWE NI GAIDI... WAMEMKUTA NA MAGOBOLE MANGAPI SEMBE KILO NGAPI??
NDEZI WAKUBWA SHWAIN....NYIE
Mama is uselessYule mama amejipambanua ni mpenda haki na maridhiano, kwa jinsi hii kesi inavyoenda itakua Ina mambo mazito sana.
Naona kuna watu wamejipanga kupiga kelele tu ili yasiwepo masikilizano yaani hawataki hata kujua bwana Mbowe amefanya ugaidi upi?!
Ni muda wa mama kuonyesha msimamo mathubuti na dunia ielewe na kuheshimu hilo. Kila mtu atavuna alichopanda.
SAWA MBOWE NI GAIDI... WAMEMKUTA NA MAGOBOLE MANGAPI SEMBE KILO NGAPI??
NDEZI WAKUBWA SHWAIN....NYIE
Safi sana. Lazima kumng'oa mbowe masharubu. Anajifanya kambale kwenye matope. Anawaudhi wengi kwa kumtusi marehemu magufuli na kumzulia uongo kumwita muuaji na dikteta. Tunajua nani wanamtuma. Amefikia kuitishia amani nchi. Kama atakutwa na makosa ya ugaidi basi afungwe milele. Yeyeto anayejaribu kuchafua jina na heshima ya mzalendo na mwanamapinduzi magufuli na alaaniwe.Muda mchache uliopita Mwenyekiti wa Chadema Mbowe alikuwa mahakamani Kisutu.
UPDATE:
View attachment 1869036
View attachment 1869050
TAARIFA KWA UMMA JUU YA AFYA YA MWENYEKITI WA TAIFA MHE.FREEMAN MBOWE .
Tumepokea taarifa za hivi punde kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe.Freeman Mbowe amefikishwa katika Mahakama ya Kisutu na amesomewa Mashitaka ya Ugaidi.
Hii ni pamoja na ukweli kuwa Familia na Mawakili wake walijulishwa kuwa wanampeleka hospitali na hivyo alifikishwa Mahakamani kimyakimya bila kuwa na uwakilishi wa wanasheria wala familia yake.
Taarifa zaidi zitakuja hapo baadaye ili kujua aina halisi ya mashitaka ambayo amefunguliwa (charge sheet) baada ya kuiona hati ya mashitaka .
Imetolewa Leo tarehe 26 Julai,2021
John Mrema
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje
Kwani kama Magu alikuwa hayo yote, inamzuia mama kuwa hivyo?! Ccm ni inzi wa kijani!Mliosema Mwendazake alikuwa dikiteta, mtendaji wa wanasiasa, mbambikia Watu kesi haya yako wapi Sasa. Yaani michadema akili zenu za Kijinga Sana na mtaperekeshwa sana