Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

They’re not gonna go all the way with it.

Lengo lao ni kumsumbua na kumnyanyasa tu.
Nyani Ngabu, yote hayo at what cost? Atarudi wapi kutoka hapa walipofika?
However you look at it ,sio picha nzuri kwa serikali.
Wanasema wako tayari kuzungumza na upinzani, kwa hali hii watazungumza na nani?
This is a dark day for our country.

Amandla...
 
Yule mama amejipambanua ni mpenda haki na maridhiano, kwa jinsi hii kesi inavyoenda itakua Ina mambo mazito sana.
Naona kuna watu wamejipanga kupiga kelele tu ili yasiwepo masikilizano yaani hawataki hata kujua bwana Mbowe amefanya ugaidi upi?!
Ni muda wa mama kuonyesha msimamo mathubuti na dunia ielewe na kuheshimu hilo. Kila mtu atavuna alichopanda.
 


SAWA MBOWE NI GAIDI... WAMEMKUTA NA MAGOBOLE MANGAPI SEMBE KILO NGAPI??
NDEZI WAKUBWA SHWAIN....NYIE
 
Yule mama amejipambanua ni mpenda haki na maridhiano, kwa jinsi hii kesi inavyoenda itakua Ina mambo mazito sana.
Naona kuna watu wamejipanga kupiga kelele tu ili yasiwepo masikilizano yaani hawataki hata kujua bwana Mbowe amefanya ugaidi upi?!
Ni muda wa mama kuonyesha msimamo mathubuti na dunia ielewe na kuheshimu hilo. Kila mtu atavuna alichopanda.
 
Yule mama amejipambanua ni mpenda haki na maridhiano, kwa jinsi hii kesi inavyoenda itakua Ina mambo mazito sana.
Naona kuna watu wamejipanga kupiga kelele tu ili yasiwepo masikilizano yaani hawataki hata kujua bwana Mbowe amefanya ugaidi upi?!
Ni muda wa mama kuonyesha msimamo mathubuti na dunia ielewe na kuheshimu hilo. Kila mtu atavuna alichopanda.

Yule mama anaongoza nchi kwa kufuata sheria

Kama Freeman anahusika na hizo tuhuma atashughulikiwa, kama hahusiki ataachiwa

Tuache vyombo husika vifanye kazi yake
 


SAWA MBOWE NI GAIDI... WAMEMKUTA NA MAGOBOLE MANGAPI SEMBE KILO NGAPI??
NDEZI WAKUBWA SHWAIN....NYIE


Ugaidi sio silaha pekee

Kabla ya matumizi ya silaha kunakuaga na Mipango ambayo ni hatari zaidi
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Yule mama amejipambanua ni mpenda haki na maridhiano, kwa jinsi hii kesi inavyoenda itakua Ina mambo mazito sana.
Naona kuna watu wamejipanga kupiga kelele tu ili yasiwepo masikilizano yaani hawataki hata kujua bwana Mbowe amefanya ugaidi upi?!
Ni muda wa mama kuonyesha msimamo mathubuti na dunia ielewe na kuheshimu hilo. Kila mtu atavuna alichopanda.
Mama is useless
Majaliwa on the wheel
 
Muda mchache uliopita Mwenyekiti wa Chadema Mbowe alikuwa mahakamani Kisutu.

UPDATE:

View attachment 1869036
View attachment 1869050

TAARIFA KWA UMMA JUU YA AFYA YA MWENYEKITI WA TAIFA MHE.FREEMAN MBOWE .

Tumepokea taarifa za hivi punde kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe.Freeman Mbowe amefikishwa katika Mahakama ya Kisutu na amesomewa Mashitaka ya Ugaidi.

Hii ni pamoja na ukweli kuwa Familia na Mawakili wake walijulishwa kuwa wanampeleka hospitali na hivyo alifikishwa Mahakamani kimyakimya bila kuwa na uwakilishi wa wanasheria wala familia yake.

Taarifa zaidi zitakuja hapo baadaye ili kujua aina halisi ya mashitaka ambayo amefunguliwa (charge sheet) baada ya kuiona hati ya mashitaka .

Imetolewa Leo tarehe 26 Julai,2021

John Mrema
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje
Safi sana. Lazima kumng'oa mbowe masharubu. Anajifanya kambale kwenye matope. Anawaudhi wengi kwa kumtusi marehemu magufuli na kumzulia uongo kumwita muuaji na dikteta. Tunajua nani wanamtuma. Amefikia kuitishia amani nchi. Kama atakutwa na makosa ya ugaidi basi afungwe milele. Yeyeto anayejaribu kuchafua jina na heshima ya mzalendo na mwanamapinduzi magufuli na alaaniwe.
 
Back
Top Bottom