Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,347
Waislam wa nchi hii tugutuke nini kina endelea dhidi yetu?
Na safari hii wakijaribu kuiba kura watakoma, Lissu hataki ujinga, wafadhili/mabeberu nao hawataki ujinga na wanaomuunga mkono wote nao hawataki ujinga, CCM itabidi wajue wataibaje hizo kura kwa akili vinginevyo kazi wanayo.
Yeye kama nani anawasemea waislamuAnasema kura zote za waislamu apigiwe Lissu Tanzania mpya inakuja