Kisbo imepitwa hapa mapema tu!

Kisbo imepitwa hapa mapema tu!

We tunaendana umri.Miaka ya 1992 mpaka 95 wamasai wa Ruvu walikuwa wanaulizana "Kiswele napita?" Haya toa ng'ombe.

Maana Kiswele iliwahi gonga ng'ombe 10 halafu ikatambaa.

Those days bus zilikuwa na bull bars.Na kulikuwa hakuna camera.

Basi zilikuwa zinakimbia balaa.
Nakumbuka nasoma tosamaganga lyalamo p/s.tukipata nafasi kuja iringa mjini,njia panda ya tosa tunakaa kwanza tunashangaa mabasi.Basi kila mmoja anajipa jina la basi mojawapo.mara mimi tawaqal,sijui mimi kiswele mara upete,mwanahapa,scandnavia,matema beach.hiyo iringa anasumbua comfort.longtime sana.
 
Nani ka kuambia mwanza dar fast jet n 150000 unajidanganya mchana kweupe
Hiyo hapo mkuu nauli ya ndege tena chini ya 150,000, mtake radhi kishu1
Fastjet.jpg
 
Watu mko machooooo,,, Mm nimetoka na premier hapa nyegezi naelekea mbeya Duuuhh linapitwa tuuuuuuuu na vibas vya ajabu najutaaaaa
Hahahaa pole sana mkuu mwezi uliopita nilipanda Premier kwenda Mbeya bahati mbaya nikapata siti ya 3 toka mwisho nilifika nimevimba mdomo kwa kurushwa siji ipanda tena....Mbeya to Mwanza panda Super Sami hutajuta kabisa

Kisbo niliipanda mwaka jana kutoka Dar kuja Mwanza nilifika nimechafuka sana kama nimetembea kwa mguu safari nzima
 
Nakumbuka nasoma tosamaganga lyalamo p/s.tukipata nafasi kuja iringa mjini,njia panda ya tosa tunakaa kwanza tunashangaa mabasi.Basi kila mmoja anajipa jina la basi mojawapo.mara mimi tawaqal,sijui mimi kiswele mara upete,mwanahapa,scandnavia,matema beach.hiyo iringa anasumbua comfort.longtime sana.
Umemaliza mwaka gani Lyalamo primary?Mimi nimemaliza hapo 2005
 
Kisbo noma aisee. Hongera Mkuu kwa kulala kwako na sio Morogoro
 
Back
Top Bottom