Kisa cha Rais Magufuli na Rais wa TUCTA aliyekuwa na vyeti Feki

Tuendelee kupambana na marehemu lakini kumbuka nchi ina shida ya
Maji
Umeme
Inflation
Rushwa
Huduma za afya ni tete
Usalama wa ndani ni kikuhemuhe
Wasiojulikana wanakata shingo bado
Tozo za kijambazi
Uongozi unaolamba asali
Ukabila na ukanda
Elimu mbofu mbofu
Na kazalika

Msisahau kumleta marehemu aje kujibu tuhuma zake
Ila Mwendazake JPM alikuwa Mwamba kweli kweli. Zaidi ya mwaka na nusu kapumzika zake lakini JF Jukwaa la Siasa bado linadumu kwasababu ya jina lake. Kama Mayahudi walivyosema, "hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu.."! Nami nadiriki kusema, "Hakika JPM alikuwa Mwamba na Jiwe hasa..."!
 
Tuendelee kupambana na marehemu lakini kumbuka nchi ina shida ya
Maji
Umeme
Inflation
Rushwa
Huduma za afya ni tete
Usalama wa ndani ni kikuhemuhe
Wasiojulikana wanakata shingo bado
Tozo za kijambazi
Uongozi unaolamba asali
Ukabila na ukanda
Elimu mbofu mbofu
Na kazalika

Msisahau kumleta marehemu aje kujibu tuhuma zake
Hizo shida zote utatuzi wake umo ndani ya katiba mpya.

Tupambane kuipata rasmu ya Warioba
 
Hawa vijana wa sasa hivi matumizi ya mihadarati yamewazidi.
nani alimshambulia kwa risasi TUNDU LISU na kwann? mbona hajakamatwa hata kuku anayeshukiwa?
Nani alimpiga risasi had mauti AKWILIN AKWILIN? kwann walifungwa wengine bila polisi yule kukamatwa?
yupo wapi Ben Raib Sanane? nani alimteka kosa lake ni nini? yupo wapi Anzory Gwanda? waliomuua wameshtakiwa kwenye mahakama gani?
Nani Alimua Alphonso Mawazo yupo wapi? mawazo aliwafanya ninini cha mno hadi mkaamua kumua?
KUHOJI HAYA SIYO KUWA NA VYETI FEKI LA HASHA
 
Namkumbuka Magufuli kwa kitu kimoja,
Akijua we ni threat kwake basi atatafuta mapungufu yako kisheria ambayo yanawza kugeuka jinai ili uwe mtumwa wake
EL alitaka kumvimbia akaitwa ikulu akaonyeshwa faili lake toka kwa DPP akaambiwa join us au tukutane kisutu,hajakaa sawa likavutwa faili la mkwe wake EL anaitwa Sumari akaambiwa join us au mkweo aoezee jela.
EL akichekecha kichwa akasalimu amri nani hapendi kiishi uraiani.

Orodha ni ndefu kuna RA mdogo wake alikamatwa na nyara za serikali na silaha kinyume cha sheria,RA akaitwa ikulu akaambiwa share zake zote za Radio M na Tv ya canal 10 azikabidhi kwenye chama chetu au mdogo wake afiie jela palepale RA akagawa share zake zote kwa chama kubwa.

Aliponogewa ndio akaanzisha plea bargain akachota mabilioni huko kama sio matrilioni toka kwa aliowatarget.

Unamkumbuka yule Rais wa Tucta aliyempelekesha Jk mpaka akaja na msemo wa mbayuwayu akili za kuambiwa changanya na zako?

Sasa kidogo Jpm yamkute kuna rais wa Tucta alitaka kumvimbia akaitwa akaambiwa we bwana wee acha ujanja wako una vyeti feki so tulia tule keki ya taifa ,jamaa akawa mpole,kwa kipindi chote cha utawala wake huyo bwana hakuwahi kuwatetea wafanyakazi.

Mnaodhani hii ni stori ya kufikirika ni kwamba huyo bwana ni msomi kweli,alikuwa ni daktari pale hospitali ya iringa,alizaliwa kijiji cha mtandika B,kata ya Ruaha Mbuyuni,wilaya ya kilolo,katika harakati za kutafuta elimu alitumia jina la mtu aliyefaulu ila akaitendea haki hiyo fursa akasoma mpaka kuwa doctor.

Watu wake wa karibu walimjua kwa jina la S.Kitamxxx..i ila akaja kutumia jina la Y Msigxxxxx

Case yake haina tofauti na ya Bashite.

RIP JPM
Subhanallah!Yarabi roho yangu miye!Karibu ustaadh tulime vitunguu hapa Mtandika!Karibu kurbia yakheee!
 
Hizo shida zote utatuzi wake umo ndani ya katiba mpya.

Tupambane kuipata rasmu ya Warioba
Tunahitaji rasimu ya wananchi maana ya warioba ina mtazamo wa kisiasa zaidi
Inaelezea na kujikita sana kwenye mgawanyo wa madaraka zaidi ya kuendesha nchi kwa misingi ya usawa, uwajibikaji na maendeleo ya kisekta.

Katiba ya Warioba inakosa uhalali kwa sababu hadi sasa ni wanasiasa pekee wanaitumia as turufu.

Katiba ya Wariona ukisoma vifungu vya 62 na 63 vinapingana vyenyewe

Tunahitaji Katiba inayobeba Hatima ya Tanzania na Watanzania na siyo hatma ya viongozi pekee
 
Ila Mwendazake JPM alikuwa Mwamba kweli kweli. Zaidi ya mwaka na nusu kapumzika zake lakini JF Jukwaa la Siasa bado linadumu kwasababu ya jina lake. Kama Mayahudi walivyosema, "hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu.."! Nami nadiriki kusema, "Hakika JPM alikuwa Mwamba na Jiwe hasa..."!
ila haya mambo inawezekana yakawa kweli kwasababu utawala ule nimewahi kushuhudia mzee mmoja pale mtwara mamlaka inamwambia atanyang'anywa korosho zake kama tani 50 alizovuna shambani kwake na atapewa kesi ya ununuaji kangomba kisa tu alikataa kutoa mchango wa mafuta kwa msafara wa CCM mkoa
 
Namkumbuka Magufuli kwa kitu kimoja,
Akijua we ni threat kwake basi atatafuta mapungufu yako kisheria ambayo yanawza kugeuka jinai ili uwe mtumwa wake
EL alitaka kumvimbia akaitwa ikulu akaonyeshwa faili lake toka kwa DPP akaambiwa join us au tukutane kisutu,hajakaa sawa likavutwa faili la mkwe wake EL anaitwa Sumari akaambiwa join us au mkweo aoezee jela.
EL akichekecha kichwa akasalimu amri nani hapendi kiishi uraiani.

Orodha ni ndefu kuna RA mdogo wake alikamatwa na nyara za serikali na silaha kinyume cha sheria,RA akaitwa ikulu akaambiwa share zake zote za Radio M na Tv ya canal 10 azikabidhi kwenye chama chetu au mdogo wake afiie jela palepale RA akagawa share zake zote kwa chama kubwa.

Aliponogewa ndio akaanzisha plea bargain akachota mabilioni huko kama sio matrilioni toka kwa aliowatarget.

Unamkumbuka yule Rais wa Tucta aliyempelekesha Jk mpaka akaja na msemo wa mbayuwayu akili za kuambiwa changanya na zako?

Sasa kidogo Jpm yamkute kuna rais wa Tucta alitaka kumvimbia akaitwa akaambiwa we bwana wee acha ujanja wako una vyeti feki so tulia tule keki ya taifa ,jamaa akawa mpole,kwa kipindi chote cha utawala wake huyo bwana hakuwahi kuwatetea wafanyakazi.

Mnaodhani hii ni stori ya kufikirika ni kwamba huyo bwana ni msomi kweli,alikuwa ni daktari pale hospitali ya iringa,alizaliwa kijiji cha mtandika B,kata ya Ruaha Mbuyuni,wilaya ya kilolo,katika harakati za kutafuta elimu alitumia jina la mtu aliyefaulu ila akaitendea haki hiyo fursa akasoma mpaka kuwa doctor.

Watu wake wa karibu walimjua kwa jina la S.Kitamxxx..i ila akaja kutumia jina la Y Msigxxxxx

Case yake haina tofauti na ya Bashite.

RIP JPM
Na yeye alikuwa na Phd fake
 
Back
Top Bottom