Kipi chakula chako pendwa?

Kipi chakula chako pendwa?

Acha basi sema kwelii

Nisemeje! Sijaanza kula mbuzi juzi, toka utoto wangu nakula mbuzi. Mzee wangu yupo kwenye mid 70's nyama yake ni mbuzi. Kwetu mbuzi huwezi mkwepa. Kama sio kichuri basi mtori, ndafu, bbq, mchemsho, makange mbuzi, supu ya utumbo, supu ya kichwa, mbuzi choma au mkausho. Kwetu mbuzi ni mnyama wa kitamaduni na mila.
 
Nisemeje! Sijaanza kula mbuzi juzi, toka utoto wangu nakula mbuzi. Mzee wangu yupo kwenye mid 70's nyama yake ni mbuzi. Kwetu mbuzi huwezi mkwepa. Kama sio kichuri basi mtori, ndafu, bbq, mchemsho, makange mbuzi, supu ya utumbo, supu ya kichwa, mbuzi choma au mkausho. Kwetu mbuzi ni mnyama wa kitamaduni na mila.
Duh mm bas naiogp
Ase
 
😂😂😂mke wangu hana vipengele mkuu atanipikia kesho,unajua kuwa na mke sio sasa kumpelekesha mkuu,alishapika wali samaki cha jioni siwez mwambia apike chapati mida hii hata kama atakubali lakini itakua kinyonge
Kuna jirn ana rudi usiku ame lewa mkew ana chinja usiku ana mpikia ase saa nane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom