Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,583
- 66,265
- Thread starter
- #41
SamakiUkitoa wali na maharage hiko kingine ni kitu gani?
SamakiUkitoa wali na maharage hiko kingine ni kitu gani?
HongeraYeaH
Amekaa kipuuzi sana🤣🤣Samaki
UhakikaKula kujigalagaza
utaumwa magoti nyama ya mbuzi sio mzuriMakange Mbuzi, karoti nyingi na ugali.
Bora ununue fanta ulie huo ugali mkubwa 😀Ugali mkubwa na ugali mdogo kama mbogaView attachment 3568990
umenifanya nipate hamu ya chapati usiku huu😄Kwangu mimi ni chapati sizichoki asee af za mama ntilie hapana nimekuwa affected siwez kula chakula ame pika mwingine na simuamin mtu kwenye swala la kupika ata kama nimechoka kuliko kununua bora nipike
View attachment 3568966
Huo unga wa ppf ni mzuri mnoo
View attachment 3568967
Jiona una kula nini show us
Tambi sizielew aseBora tambi kuliko madonda ya tumbo
Ukaaji wake hapo kwenye sahani sio poa😃
Ulijua nini mazee😂Amekaa kipuuzi sana🤣🤣
Utafukuzwa zanzibar weweMdudu hata iwe daily mwaka mzima.
mixa wali pembeni chakula changu pendwa kabisa😹😹Ndizi zenye nyama nyingi na Pilipili ya kutosha na mbege pembeni View attachment 3568971
utaumwa magoti nyama ya mbuzi sio mzuri
Huyo simlii bwashee 😄Ulijua nini mazee😂
Mwambie shemeji chap akupikie akigoma ujue huna mkeumenifanya nipate hamu ya chapati usiku huu😄
Madr wamesema haya utashindwa perfom wellSio kweli. 😁
Hahaha wali mimi hapana kabisa , hata nikiuona tu unanikata hamu ya kulamixa wali pembeni chakula changu pendwa kabisa😹😹
Mbona mtamuHuyu simlii bwashee 😄