Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,272
daah hiyo barabara mbovu sanaHivi wakuu hiki kipande cha chalinze hadi Mlandizi kimeishapona au manake sijapita siku nyingi njia iyo huwa napita bagamoyo tu siku hizi kwenda Arusha
daah hiyo barabara mbovu sanaHivi wakuu hiki kipande cha chalinze hadi Mlandizi kimeishapona au manake sijapita siku nyingi njia iyo huwa napita bagamoyo tu siku hizi kwenda Arusha
Kigoma kasulu kuna lami, labda unazungumzia Kasulu - Kibondo - Nyakanazi.
Hii ni barabara ya mfanoTabata barakuda kwenda Nyerere road kupitia Vingunguti. It’s terrible. Kama sio Dar.
Igunga kwenda nzega
Mpaka wa shinyanya kwenda mpaka hungumalwa
Hiyo kipande inakeraKwa kuwa naenda sana Kilimanjaro, ile kipande baada ya kutoka hotelini hadi kufika same panaboa sana hasa ukiwa idle tu. Kwa kurudi ni Segera mpaka kuipata Wami. Unaweza hisi umeshinda siku nyingine kwenye gari!
Sana yani ndio maana sikuhizi gari kama haina USB port na AC silipandiHiyo kipande inakera
Ila uzur gari nyingi za Kaskazin zipo vizur sanaSana yani ndio maana sikuhizi gari kama haina USB port na AC silipandi
Yeah sahivi zimeongezekaIla uzur gari nyingi za Kaskazin zipo vizur sana
218km editedSio kweli hizo km
Kwa kuwa naenda sana Kilimanjaro, ile kipande baada ya kutoka hotelini hadi kufika same panaboa sana hasa ukiwa idle tu. Kwa kurudi ni Segera mpaka kuipata Wami. Unaweza hisi umeshinda siku nyingine kwenye gari!
kweli kuanzia pale same hadi Moshi barabara ni mbovu sana mashimo kibao...Nakumbuka Mara ya kwanza naenda kigoma tulipita hyo njia tulikuwa tumepanda adventure tupofika tulikuwa tumechafuka na vumbi utazani tumetoka machimboniHahahaaa nyakanazi to kigoma patamu sana ukipanda Kiazi kitamu au coastline ukishuka ni vumbi tupu..
Sio sehemu yote ya kutoka kasulu to kgm ina lami mkuuSema Kibondo/Kasulu to Nyakanazi maana Kigoma (mjini) mpaka kasulu kuna Lami.
Ile njia mbaya sana inaharibu magari chiniTabata barakuda kwenda Nyerere road kupitia Vingunguti. It’s terrible. Kama sio Dar.
Ni nyembamba sana na kuna traffic kubwa ya malori plus mikoba kona milima miteremko sema ina vijiji na miji mingi imechangamka huwi mpwekeMzee si Sawa au sijakuelewa..Barabara ya Mbeya Tunduma ni raha tupu lami nzuri kasoro foleni Za Tunduma ukifika.Barabara Dume Kigoma Kasulu mpaka Nyakanazi...Hii mpaka ushibe Ndio usafiri
Serikali haiko seriac,Tanzam road iko Bize sana kutoka ubungo to chalinze hadi Morogoro na kutoka uyole Mbeya hadi tunduma,hivi vipande vingejengwa dual carriage viko bize sana lakini road ni finyuIts true kinachonishangaza ni kwamba kipande hiki miaka nendarudi kipo hivi lkn ndio barabara yenye uchumi mkubwa sana na kiunganishi cha nchi
Poa mkuu, habari ya wewe?mambo!