Nubian Ancient
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 958
- 1,182
Daaaah!!Tabata barakuda kwenda Nyerere road kupitia Vingunguti. It’s terrible. Kama sio Dar.
Daaaah!!Tabata barakuda kwenda Nyerere road kupitia Vingunguti. It’s terrible. Kama sio Dar.
Hicho kipande unatakiwa kulala tu njia nzima, ukiwa idle daah unachoka hakuna hata vionjo njianiumeniwahi mkuu, Segera to Wami kwangu ni janga, ni kipande kirefu na chenye kuchosha sana, Sehemu nyingine ni Minjingu to Arusha, Longido to Arusha, Gairo to Dodoma.
Hahahaaa nyakanazi to kigoma patamu sana ukipanda Kiazi kitamu au coastline ukishuka ni vumbi tupu..Nyakanzi to kigoma
Hii njia n mbovu baala hakuna lami plus vumbi linaingia had ndani ya gar, plus risk ya kutekwa na majambazi plus magari yote yanayopta njia hii ni choka mbaya hakuna Luxury... Utajuta
Vp bado mikasa hata baada ya kuwekwa lamiMtera to iringa mjini[emoji19]
Duuh hapafai hapo km 218 Itigi to Tabora pananiuzigi balaa bora lami iishe ile aixee
Duuh hapafai hapo km 288 Itigi to Tabora pananiuzigi balaa bora lami iishe ile aixee
Nilitaka kupataja hapohapo, hapafai kabisa. Kipande kirefu alafu kibovu! Angalau hiyo lami wanayotengeneza ikiisha itapunguza usumbufu.
Hii Tz yetu bhana ,ngoja tuendelee kuiita Dhaifu tu [emoji16]Its true kinachonishangaza ni kwamba kipande hiki miaka nendarudi kipo hivi lkn ndio barabara yenye uchumi mkubwa sana na kiunganishi cha nchi
Kigoma to nyakanazi
Kigoma kasulu kuna lami, labda unazungumzia Kasulu - Kibondo - Nyakanazi.Mzee si Sawa au sijakuelewa..Barabara ya Mbeya Tunduma ni raha tupu lami nzuri kasoro foleni Za Tunduma ukifika.Barabara Dume Kigoma Kasulu mpaka Nyakanazi...Hii mpaka ushibe Ndio usafiri
Bora ulifunga mkanda maanamwaka juzi mwezi wa tatu nipo na new force la dar-songea,maeneo ya kifanya madaba huko tukashangaa limeanza kufyeka miti,hatujakaa sawa tukaskia kishindo kikubwa TIIIIIIIII,akili zinakuja kukaa sawa naning'inia kwny mkanda kichwa chini miguu juuu,zile kona acha tuuu
Hasahasa Ipole hadi InyongaBila kusahau Sikonge to Mpanda...
Igunga kwenda nzega
Mpaka wa shinyanya kwenda mpaka hungumalwa
Wasalaam
Najaribu kupata uzoefu toka kwa wadau!
Binafsi hufanya safari za Mara kwa Mara kwa barabara! Katika safari zangu za mkoa wa Rukwa safari yangu huwa inaingiwa na ukakasi nikishafika Mbeya Mjini nikianza kuitafuta Tunduma.
Sijui wewe mdau kipande gani kinakutesa kutokana na Barabara kutokuwa rafiki na hali ya safari kwa ujumla
tatizo ukiwa una drive mwenyeweHicho kipande unatakiwa kulala tu njia nzima, ukiwa idle daah unachoka hakuna hata vionjo njiani