Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,395
- 13,266
Kuna ya Dodoma - Iringa? Najua kuna ya Dar- Iringa, Iringa - Dar na safari zinaanza 29/04/2019Pole my.
Upande bombadie siku moja moja my
Kuna ya Dodoma - Iringa? Najua kuna ya Dar- Iringa, Iringa - Dar na safari zinaanza 29/04/2019Pole my.
Upande bombadie siku moja moja my
Unaogopa zile konaMtera to iringa mjini![]()
We jamaa tatizo nn na hii njiaMwenge-Tegeta
Hivi wakuu hiki kipande cha chalinze hadi Mlandizi kimeishapona au manake sijapita siku nyingi njia iyo huwa napita bagamoyo tu siku hizi kwenda Arusha
Nilitaka na Mimi niandike hii Mkuu.... Hiki kipande sijawahi kukipenda Kabisa..Kwa kuwa naenda sana Kilimanjaro, ile kipande baada ya kutoka hotelini hadi kufika same panaboa sana hasa ukiwa idle tu. Kwa kurudi ni Segera mpaka kuipata Wami. Unaweza hisi umeshinda siku nyingine kwenye gari!
Ndo napambana nayo hapaUsijali my
Pambana na hali yako my.
Tunaotumia ungo tunawachora tu hapa![]()

NdiooUnaogopa zile kona

Ewalaaa@ledada kwenye makona mule
Sawa my wanguNdo napambana nayo hapa![]()
Unaogopa ile milima? K5, K9.?Kuna Nyakanazi mpaka Benaco,utadhani unaelekea motoni