kupanda milima ya usambara. VUDEeeee----KIHURIO---Gonja---Kisiwani__Same.
Hicho kipande kimeharibiwa sana na TRUCKS za mizigo za masafa marefuWasalaam
Najaribu kupata uzoefu toka kwa wadau!
Binafsi hufanya safari za Mara kwa Mara kwa barabara! Katika safari zangu za mkoa wa Rukwa safari yangu huwa inaingiwa na ukakasi nikishafika Mbeya Mjini nikianza kuitafuta Tunduma.
Sijui wewe mdau kipande gani kinakutesa kutokana na Barabara kutokuwa rafiki na hali ya safari kwa ujumla
Nishawahi tumia Hio barabara umesema kweli kabisaNyakanzi to kigoma
Hii njia n mbovu baala hakuna lami plus vumbi linaingia had ndani ya gar, plus risk ya kutekwa na majambazi plus magari yote yanayopta njia hii ni choka mbaya hakuna Luxury... Utajuta
Its true kinachonishangaza ni kwamba kipande hiki miaka nendarudi kipo hivi lkn ndio barabara yenye uchumi mkubwa sana na kiunganishi cha nchiHicho kipande kimeharibiwa sana na TRUCKS za mizigo za masafa marefu
Tz to DRC,ZAMBIA,N.k) hakina viraka ila kina matuta sana mkuu,mfano ukifika mlima CHENGURA unapoitafuta Sogea,unaweza hisi unapitisha Gari kwenye shamba lenye Matuta
N.B
Barabara ni ya zamani,inabidi wajenge kama ya tunduma-Swanga
Na Route ya Tunduma -Swanga ,kuna matuta (Ridges) za kutosha mpaka kero
Binafsi hiki kipande kinaniudhi sana kwakweliSegera to Chalinze!
singida dodoma.
Ninachokipenda kuliko vyote Arusha moshi.
Mhhhh.....Dodoma to Singida
Nyakanazi, Kakonko, Kibondo, Kasulu hadi Mwandiga......Nyakanzi to kigoma
Hii njia n mbovu baala hakuna lami plus vumbi linaingia had ndani ya gar, plus risk ya kutekwa na majambazi plus magari yote yanayopta njia hii ni choka mbaya hakuna Luxury... Utajuta
Masaa manne mzee babaDodoma to Singida
Zile Tata zimeandikwa Trump vip nazo choka mbaya?Nyakanzi to kigoma
Hii njia n mbovu baala hakuna lami plus vumbi linaingia had ndani ya gar, plus risk ya kutekwa na majambazi plus magari yote yanayopta njia hii ni choka mbaya hakuna Luxury... Utajuta