Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,585
- 105,452
Hiki kipande kilisha karabatiwa, ingawa ukarabati ulikua wa hovyo na wakaweka lami ambayo imekua kama dongo la mfinyanzi pale kwa jinsi lami ilivyo jikusanya penye ambapo tairi za magari hazikanyagi. Na kwa tatizo hili, wale wenye magari ya chini (madogo) wanatakiwa wachukue tahadhari sana kwasababu pana uwezekano mkubwa wa kupasua engine oil sumpHivi wakuu hiki kipande cha chalinze hadi Mlandizi kimeishapona au manake sijapita siku nyingi njia iyo huwa napita bagamoyo tu siku hizi kwenda Arusha


