Kipande cha barabara usichokipenda ukisafiri

Kipande cha barabara usichokipenda ukisafiri

Igawa kuitafuta mbeya mjin ndo sehem inaniboa sana
 
Mwanga ukishavuka lile daraja tu kuitafuta kifaru....pale katikati kuna kiwanda cha spirit
 
Mtera to iringa mjini
pale panaboa sana,kwanza ukisafiri kw basi mkifika hapo hutaona mtu kwny basi anachati wala musikiliza muziki,chaajabu sana hata mtt mdogo wa miez miwili hutulia tuliiiii,utaskia muungurumo wa gari tu,panazingua sana,na mkivuka tu hapo hata breathrate na heartbeat-rate za watu hurud kwny ukawaida wake
 
Njombe to songea, zile corner utumbo wote unavurugika
mwaka juzi mwezi wa tatu nipo na new force la dar-songea,maeneo ya kifanya madaba huko tukashangaa limeanza kufyeka miti,hatujakaa sawa tukaskia kishindo kikubwa TIIIIIIIII,akili zinakuja kukaa sawa naning'inia kwny mkanda kichwa chini miguu juuu,zile kona acha tuuu
 
kipande cha mwigumbi-mawsa-bariadi,panaboa sana japo ni tambarare,mtu utatamani uzungukie mwanza had lamadi ndo ukaje bariadi,panaboa sana kama singda-manyoni tuuu
 
Nidokeze ndugu kuna nini hapo?
pale panaboa sana,kwanza ukisafiri kw basi mkifika hapo hutaona mtu kwny basi anachati wala musikiliza muziki,chaajabu sana hata mtt mdogo wa miez miwili hutulia tuliiiii,utaskia muungurumo wa gari tu,panazingua sana,na mkivuka tu hapo hata breathrate na heartbeat-rate za watu hurud kwny ukawaida wake
 
Wasalaam
Najaribu kupata uzoefu toka kwa wadau! Binafsi hufanya safari za Mara kwa Mara kwa barabara! Ktk safari zangu za mkoa wa rukwa safari yangu huwa inaingiwa na ukakasi nikishafika mbeya mjini nikianza kuitafuta tunduma sijui wewe mdau kipande gani kinakutesa kutokana na Barbara kutokuwa rafiki na hali ya safari kwa ujumla.....
Morogoro to dar es salaam 200km unatumia masaa 6.
 
Mzee si Sawa au sijakuelewa..Barabara ya Mbeya Tunduma ni raha tupu lami nzuri kasoro foleni Za Tunduma ukifika.Barabara Dume Kigoma Kasulu mpaka Nyakanazi...Hii mpaka ushibe Ndio usafiri
 
Back
Top Bottom