Kipande cha barabara usichokipenda ukisafiri

Kipande cha barabara usichokipenda ukisafiri

Naam...

Kuna watu wengine tunapenda kuendesha magari...sehemu kama hizo ndio raha ya gari inakuwepo kuliko sehemu tambarare...
Aiseeee[emoji119][emoji119][emoji119]
Wewe Ni noma.
Mimi pale huwa.Nafumba macho...nmepita last week nikapachungulia kule korongoni natetemeka
 
Plus iyovi kanjia kadogo na hakuna mistari barabarani
Na wendawazimu kina Majinja, New force Wanapita mule na speed 120, Nadhani wao huona raha kulala na kona zile, pia uzoefu wa madereva kupita kila mara hujiona wanaweza kukabiliana na msukosuko wowote.
 
VYOTE MMETAJA CHA MTOTO, KUNA KILOMETER 50 ZA VUMBI KUTOKA NJIA NNE KWENDA KIPATIMU. Sina hakika kama kuna MTU anapafahamu.
 
Aiseeee[emoji119][emoji119][emoji119]
Wewe Ni noma.
Mimi pale huwa.Nafumba macho...nmepita last week nikapachungulia kule korongoni natetemeka
Nimekuwa nikipita hii njia miaka mingi, tangu enzi za kupanda mabasi kama Kiswele, Kwacha, Zainabs, Scandnavia wakati huo Kitonga ile ya lami na magari kupisha inabidi gari moja kusimama kwanza...

Maybe ndio maana napaona pa kawaida tu
 
Nimekuwa nikipita hii njia miaka mingi, tangu enzi za kupanda mabasi kama Kiswele, Kwacha, Zainabs, Scandnavia wakati huo Kitonga ile ya lami na magari kupisha inabidi gari moja kusimama kwanza...

Maybe ndio maana napaona pa kawaida tu
Wewe Ni dereva!??
 
Dodoma - morogoro bana, khaaaa! Ukisinzia ukiamka kilosa, kilosa, kilosa weee......mvomero, ni parefu sipapendi
 
Mombo to Soni mpaka Lushoto
Soni to Bumbuli
Mtwara to Tandahimba kwenda Newala mpaka Masasi.
Katoro to Ushirombo

Balaaa tupu
 
Back
Top Bottom