Kipande cha barabara usichokipenda ukisafiri

Kipande cha barabara usichokipenda ukisafiri

[emoji23][emoji23][emoji23]
heaven sent[emoji7][emoji7][emoji7]
Hebu mwambie[emoji19]hana hata msaada Mwifwa
mrembo ukija mikononi mwangu hutojuta[emoji23]nina ghorofa la upendo(sio nyumba)
na pesa ya mboga pia ipo mpendwa...special care uitakayo utapata na kuzidi[emoji23][emoji23][emoji7][emoji8]
 
Barabara ya kuelea chato[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mikumi-ruaha, daah iyovi inachosha!
Tunduma-swax, zile bamps ukifika mwili unauma
Mimi kuanzia pale Ruhaa sheli mpaka Mang'ula mpaka Ifakara ni balabala ya vumbi kipindi cha mvua ni balaa na ni kilometers nyingi zaidi ya 80.
 
Hii njia mateso asee..nakumbuka nilitoka bk to kgm kwenye gari maalufu kama yaAly hatari tupu sio kwa vumbi lile tulifika kgm tunafanana na rangi ya udongo wa kibondo aisee..
Nyakanzi to kigoma
Hii njia n mbovu baala hakuna lami plus vumbi linaingia had ndani ya gar, plus risk ya kutekwa na majambazi plus magari yote yanayopta njia hii ni choka mbaya hakuna Luxury... Utajuta
 
Wasalaam

Najaribu kupata uzoefu toka kwa wadau!

Binafsi hufanya safari za Mara kwa Mara kwa barabara! Katika safari zangu za mkoa wa Rukwa safari yangu huwa inaingiwa na ukakasi nikishafika Mbeya Mjini nikianza kuitafuta Tunduma.

Sijui wewe mdau kipande gani kinakutesa kutokana na Barabara kutokuwa rafiki na hali ya safari kwa ujumla
Kipande kwanzia Mbeya hadi Tunduma kinanikera maana kuna traffic wengi barabarani na wananjaa ile mbaya, ukipita bila kusimamishwa ushukuru Mungu tu.
 
Kipande cha shy-maswa-bariadi kilikua kinaboa..kuna siku nilipiga bamzi usiku kichwa kiligusa bodi ya basi..hope nw kimekamilika.

Kingine ni kutoka Nangurukuru-lindi aisee pana boa utadhani km zinaongezwa..parefu pia mapori tu hakuna hata makazi.[emoji53]
 
Si hivyo tuu! Kuna kutoka Tunduma kuelekea Laela, kuna matuta mengi hadi kero! Matuta kama ya viazi.[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Duuh....kipande hicho idadi ya matuta ni mengi kushinda kilometa za barabara
 
Kona za Kuanzia Mombo to Lushoto,
Zile Kona hata Kitonga cha mtoto
 
mwaka juzi mwezi wa tatu nipo na new force la dar-songea,maeneo ya kifanya madaba huko tukashangaa limeanza kufyeka miti,hatujakaa sawa tukaskia kishindo kikubwa TIIIIIIIII,akili zinakuja kukaa sawa naning'inia kwny mkanda kichwa chini miguu juuu,zile kona acha tuuu
mwaka 2016 huyo new force aliua watu wengi maeneo hayo....mi siku hizi najipitia njia ya Lindi, japo ndefu lkn potelea mbali
 
Back
Top Bottom