ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 4,138
- 2,827
Iyovi kona kona ziile
sku tunapata ajal na new force nlikuwa nmekaa siti moja na mdada mrembo hatari aisee,alivunjika mguu wa kushoto bahati mbaya,alilazwa ikonda hospital huko njombe nikawa natoka songea kwenda kumsalimia,alipoagwa huko nikampatia hifadhi hom kwangu (songea) na akawa anaenda peramiho hospital kuchunguzwa kila baada ya mda flan,alipoanza kutembelea gongo nikawa nampeleka kikosini (411KJ) ruhuwiko kufanya mazoezi,tukapendana sana sana,ad naandika mesej hii yupo pembeni hapa,nampenda sana mama koku,ashapona mrembo wangu,ni mzuri kuliko wanawake wote (kwa mtazamo wangu)mwaka 2016 huyo new force aliua watu wengi maeneo hayo....mi siku hizi najipitia njia ya Lindi, japo ndefu lkn potelea mbali
Kipande cha shy-maswa-bariadi kilikua kinaboa..kuna siku nilipiga bamzi usiku kichwa kiligusa bodi ya basi..hope nw kimekamilika.
Kingine ni kutoka Nangurukuru-lindi aisee pana boa utadhani km zinaongezwa..parefu pia mapori tu hakuna hata makazi.[emoji53]
sku tunapata ajal na new force nlikuwa nmekaa siti moja na mdada mrembo hatari aisee,alivunjika mguu wa kushoto bahati mbaya,alilazwa ikonda hospital huko njombe nikawa natoka songea kwenda kumsalimia,alipoagwa huko nikampatia hifadhi hom kwangu (songea) na akawa anaenda peramiho hospital kuchunguzwa kila baada ya mda flan,alipoanza kutembelea gongo nikawa nampeleka kikosini (411KJ) ruhuwiko kufanya mazoezi,tukapendana sana sana,ad naandika mesej hii yupo pembeni hapa,nampenda sana mama koku,ashapona mrembo wangu,ni mzuri kuliko wanawake wote (kwa mtazamo wangu)
Tanga to Pangani
Upo sahihiKona za Kuanzia Mombo to Lushoto,
Zile Kona hata Kitonga cha mtoto
Very beautiful places hizo kama ulaya Fulani hivi! Hapa wanyalu wamependelewa maziingiraHakuna moment ninayo enjoy kama kuendesha gari maeneo ya kama Iyovi, au kupanda na kushuka Kitonga au maeneo kama mlima nyoka...
Hakuna moment ninayochukia kama kuendesha gari eneo tambarare na barabara iliyonyooka kiasi unaona kilometa nyingi mbele kama maeneo fulani Singida kwenda Nzega hapo...
singida dodoma.
Ninachokipenda kuliko vyote Arusha moshi.
Au dom kwenda singida au shy kwenda mwanza..ile barabara imenyooka mpka inaboa..hakuna hata miinuko na mabonde..Hakuna moment ninayo enjoy kama kuendesha gari maeneo ya kama Iyovi, au kupanda na kushuka Kitonga au maeneo kama mlima nyoka...
Hakuna moment ninayochukia kama kuendesha gari eneo tambarare na barabara iliyonyooka kiasi unaona kilometa nyingi mbele kama maeneo fulani Singida kwenda Nzega hapo...
Ndiyo![emoji16][emoji16][emoji16]Duuh....kipande hicho idadi ya matuta ni mengi kushinda kilometa za barabara