Kipande cha barabara usichokipenda ukisafiri

Kipande cha barabara usichokipenda ukisafiri

Kwa kuwa naenda sana Kilimanjaro, ile kipande baada ya kutoka hotelini hadi kufika same panaboa sana hasa ukiwa idle tu. Kwa kurudi ni Segera mpaka kuipata Wami. Unaweza hisi umeshinda siku nyingine kwenye gari!
Parefu pale mahali balaa
 
Tandika ukitoka buza kwenda mbagala panakera sana unaweza kutumia dakika kama 25 hivi
 
Inawezekana kwa bahari ikawa ni tofauti au labda pia mtoa mada kasema barabara ila kwa upande wa majini from Nungwi to Mkoani hichi kipande ni hatari sana na ukitaka kujua athari yake basi waulize wasafiri waliokuwapo ndani ya MV Spice Islander mwaka 2011 kama sijakosea mwaka
 
Back
Top Bottom