Kipande cha barabara usichokipenda ukisafiri

Kipande cha barabara usichokipenda ukisafiri

Aaah aaah kakonko to kasulu kigoma...

Ni zaidi ya vita... Mpka kesho magari yanatekwa dadek
 
Mlima nyang'oro njia ya Mtera Iringa na Njia ya kutoka mombo mpaka Soni Lushoto.
 
Kipande cha kamanga kwenda sengerema asee ni bonge la rough road hatari japokuwa ni fupi na pendwa na abiria kuliko ya busisi kwenda sengerema
 
Kipande kutoka Chunya Makongorosi hadi Sikonge
Wasalaam

Najaribu kupata uzoefu toka kwa wadau!

Binafsi hufanya safari za Mara kwa Mara kwa barabara! Katika safari zangu za mkoa wa Rukwa safari yangu huwa inaingiwa na ukakasi nikishafika Mbeya Mjini nikianza kuitafuta Tunduma.

Sijui wewe mdau kipande gani kinakutesa kutokana na Barabara kutokuwa rafiki na hali ya safari kwa ujumla
 
Sipendi vipande vya Mpanda - uvinza na
Misigiri - nzega
Pia napenda kipande cha lamadi - bunda lami yake quality sana unamaliza 180 bila tatizo!
 
Mimi sina gari ila huwa nikisafiri kwenye basi huwa nachukia nikifika kipande cha dodoma hadi mtera ....pia kutoka singida hadi dodoma
 
Back
Top Bottom