Kipande cha barabara usichokipenda ukisafiri

Kipande cha barabara usichokipenda ukisafiri

Ruaha- Ifakara ni shida tena afadhari sa hv kidooogo wamesawazisha kuna kipindi barabara ilikuwa na na mawe unahisi kabisa tairi inapasuka, mwendo ilikuwa ni 20 kph tu si zaidi. Kipande kingine ni Sumbawanga- Mpanda, unaweza hisi unaenda nchi jirani.
ukiwa unaenda ifakara ukipita pale kwenye daraja sijui ni ruaha sijui ni ruvu pale, unaachana na lamiii mpk sijui wap ndio unakuta lami tena
 
Kipande ya Sumbawanga- Mpanda via lyamba lya mfipa, aisee ni shida, 200+km ya rough road si mchezo ***** unatembea na gari pori tu, mpk kama unahisi upo Congo, yani unasahau kbs kama upo Tanzania!
 
Sisi wa dar - moro tunaweka wapi comments....?
Katika moja ya safari zilizo ndefu Tanzania hii ni hiyo, japo ni fupi hardly 190kms from Dsm,unaeza dhani unaenda Mtwara.
Traffic torches,foleni ni kero tuu kuanzia mbezi mpaka msamvu...
 
Yaani maeneo ya kutembea zaidi ya 50, unayahesabu...
Katika moja ya safari zilizo ndefu Tanzania hii ni hiyo, japo ni fupi hardly 190kms from Dsm,unaeza dhani unaenda Mtwara.
Traffic torches,foleni ni kero tuu kuanzia mbezi mpaka msamvu...
 
Wasalaam

Najaribu kupata uzoefu toka kwa wadau!

Binafsi hufanya safari za Mara kwa Mara kwa barabara! Katika safari zangu za mkoa wa Rukwa safari yangu huwa inaingiwa na ukakasi nikishafika Mbeya Mjini nikianza kuitafuta Tunduma.

Sijui wewe mdau kipande gani kinakutesa kutokana na Barabara kutokuwa rafiki na hali ya safari kwa ujumla
1.Ifakara,Lupilo to Mahenge
2.Kasulu-Nyarugusu- Kibondo-Nyakanazi
3.Nzega-Kahama unapita katikati unatokea Kagongwa..nimesahau jina ila ni by bass ya kutozungukia Tinde,kama 40kms hivi..
4.Karagwe to Rulenge- Kabanga- Kyerwa..dah aisee
5.Mkta - Handeni-Kilindi
6.Singida -Nzega barabara ina vipara na mashimo tena hatari hii ya mvua..kama haina lami hivi
7.Makambako- Mbeya-Tunduma..barabara ishakuwa finyu sana (narrow),ina altitude changes za ghafla,lama haiko grip..kuteleza (skidding) kwa matairi ni obvious situation hasa muda wa usiku..maeneo yale usiku hupoa sana then kuna umande..
7.Chunya -Lupa- Makongolosi mpaka Sikonge..na vitongoji jirani...iyo heshima..
Kuna sehemu unapita unajiuliza bado uko inji hii au???ajabu kuna utajiri na rasilimali nyingi ajabu..
Nashukuru kwa kujitembeza kwangu,yale mawazo mgando ya kitoto ya kuamini mitikasi iko Dar na miji mikubwa yaliisha siku hizohizo..
Truth be told with honesty,nchi yetu inahitaji uwekezaji mkubwa wa kujenga miundo mbinu msingi kwa sana..
Nina binamu yangu huwa ana Asthma,siku ilimbana tukiwa huko..,kama sio ujuzi,busara na hek'ma za mdau mwenyeji..
Walahi shangazi yangu ningemrejeshea cadava, kuna mzee alitupatia mizizi imetokoswa na udadambwi mwingine..maisha yakendelea..
 
Yaani maeneo ya kutembea zaidi ya 50, unayahesabu...
Na usiombe siku hiyo kuwe na msafara wa wenye nchi aidha PM au mzee baba,utatia adabu..unapaki gari pembeni kama mpenda kileo..weka oda ya nyama choma uanze kusuuza koo..simply count 3 hours lost..
Pili,iwe miezi ya sikukuu..Disemba kuna washkaji walikuwa mbele yetu..mi ni wadau tukaerevuka tukawaacha watangulie..maskini sijui niugeni wa gari au mikogo ya ujana wetu..toka Dar mpaka tunafika nao Dodoma washakula vyeti ka vitatu..ndugu yanngu tumefika maeneo ya kibaigwa maarufu hapo road kwa makulaji around saa 5 ivi tukaenda sehemu walopaki kunywa/kula ..akajittoa akili akawauliza vipi..waliishia kununa tu..
Tatu,sehemu inayoanza kuwa sumbufu pia siku hizi ni Moro - Dodoma..Sijui kwanini labda mnisaidie wadau..
 
MTWARA - NEWALA - MASASI...
NACHINGWEA - LIWALE
THE WORST ROAD EVER....
 
Mlandizi to chalinze,

Dodoma to singida,

singida to kateshi,

babati to arusha

Yaani unasafiri huoni kama unafika
 
Tengeru -Arusha mjini.gari inaendesha kms 50 Kwa SAA double road
Na trafic kibao kwenye hiyo barabara


Wasalaam

Najaribu kupata uzoefu toka kwa wadau!

Binafsi hufanya safari za Mara kwa Mara kwa barabara! Katika safari zangu za mkoa wa Rukwa safari yangu huwa inaingiwa na ukakasi nikishafika Mbeya Mjini nikianza kuitafuta Tunduma.

Sijui wewe mdau kipande gani kinakutesa kutokana na Barabara kutokuwa rafiki na hali ya safari kwa ujumla
 
1.Ifakara,Lupilo to Mahenge
2.Kasulu-Nyarugusu- Kibondo-Nyakanazi
3.Nzega-Kahama unapita katikati unatokea Kagongwa..nimesahau jina ila ni by bass ya kutozungukia Tinde,kama 40kms hivi..
4.Karagwe to Rulenge- Kabanga- Kyerwa..dah aisee
5.Mkta - Handeni-Kilindi
6.Singida -Nzega barabara ina vipara na mashimo tena hatari hii ya mvua..kama haina lami hivi
7.Makambako- Mbeya-Tunduma..barabara ishakuwa finyu sana (narrow),ina altitude changes za ghafla,lama haiko grip..kuteleza (skidding) kwa matairi ni obvious situation hasa muda wa usiku..maeneo yale usiku hupoa sana then kuna umande..
7.Chunya -Lupa- Makongolosi mpaka Sikonge..na vitongoji jirani...iyo heshima..
Kuna sehemu unapita unajiuliza bado uko inji hii au???ajabu kuna utajiri na rasilimali nyingi ajabu..
Nashukuru kwa kujitembeza kwangu,yale mawazo mgando ya kitoto ya kuamini mitikasi iko Dar na miji mikubwa yaliisha siku hizohizo..
Truth be told with honesty,nchi yetu inahitaji uwekezaji mkubwa wa kujenga miundo mbinu msingi kwa sana..
Nina binamu yangu huwa ana Asthma,siku ilimbana tukiwa huko..,kama sio ujuzi,busara na hek'ma za mdau mwenyeji..
Walahi shangazi yangu ningemrejeshea cadava, kuna mzee alitupatia mizizi imetokoswa na udadambwi mwingine..maisha yakendelea..
Umemaliza
 
Hakuna moment ninayo enjoy kama kuendesha gari maeneo ya kama Iyovi, au kupanda na kushuka Kitonga au maeneo kama mlima nyoka...

Hakuna moment ninayochukia kama kuendesha gari eneo tambarare na barabara iliyonyooka kiasi unaona kilometa nyingi mbele kama maeneo fulani Singida kwenda Nzega hapo...
Kitonga!??
Unaenjoy!?[emoji16]
 
Wasalaam

Najaribu kupata uzoefu toka kwa wadau!

Binafsi hufanya safari za Mara kwa Mara kwa barabara! Katika safari zangu za mkoa wa Rukwa safari yangu huwa inaingiwa na ukakasi nikishafika Mbeya Mjini nikianza kuitafuta Tunduma.

Sijui wewe mdau kipande gani kinakutesa kutokana na Barabara kutokuwa rafiki na hali ya safari kwa ujumla
Sipendi kuendesha barabara ya Tunduma-S/wanga ina matuta mengi sana.
 
Stop Over mpaka Mbezi Luis.
Hapa nadhani hadi barabara za 15 lane zitengenezwe. Foleni mpaka muda huu
 
Back
Top Bottom