Kiongozi wa Houth atoa takwimu ya meli walizozipiga na kusema wanakusudia kupanua wigo wa kuzuia meli za Israel zisipite bahari ya hindi yote

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,194
10,929
Abdel-Malik al-Houthi ambaye ni kiongozi wa juu wa wapiganaji wa Houth wa Yemen amesema mpaka sasa wamefanikiwa kuzishambulia meli zenye mafungamano na Israel zipatazo 73 tanguj waanze operesheni yao ya kuwatetea watu wa Palestina.
Kupitia televisheni inayomilikwa na wanamgambo hao Abdel Malik akaongeza kusema kuwa wana mpango kabambe kuanza kuzuia njia nyengine zinazotumiwa na Israel na ambazo hazikufikiriwa ikiwemo kuzuia meli hizo zipite bahari ya hindi yote hata kuzunguka Afrika kusini.

Yemen’s Houthis vow to expand shipping blockage to Indian Ocean

 
Abdel-Malik al-Houthi ambaye ni kiongozi wa juu wa wapiganaji wa Houth wa Yemen amesema mpaka sasa wamefanikiwa kuzishambulia meli zenye mafungamano na Israel zipatazo 73 tanguj waanze operesheni yao ya kuwatetea watu wa Palestina.
Kupitia televisheni inayomilikwa na wanamgambo hao Abdel Malik akaongeza kusema kuwa wana mpango kabambe kuanza kuzuia njia nyengine zinazotumiwa na Israel na ambazo hazikufikiriwa ikiwemo kuzuia meli hizo zipite bahari ya hindi yote hata kuzunguka Afrika kusini.

Yemen’s Houthis vow to expand shipping blockage to Indian Ocean

Utakuwa ni jambo jema
 
Abdel-Malik al-Houthi ambaye ni kiongozi wa juu wa wapiganaji wa Houth wa Yemen amesema mpaka sasa wamefanikiwa kuzishambulia meli zenye mafungamano na Israel zipatazo 73 tanguj waanze operesheni yao ya kuwatetea watu wa Palestina.
Kupitia televisheni inayomilikwa na wanamgambo hao Abdel Malik akaongeza kusema kuwa wana mpango kabambe kuanza kuzuia njia nyengine zinazotumiwa na Israel na ambazo hazikufikiriwa ikiwemo kuzuia meli hizo zipite bahari ya hindi yote hata kuzunguka Afrika kusini.

Yemen’s Houthis vow to expand shipping blockage to Indian Ocean

Bahari ya hindi yote hawatoweza, inabidi wa cross bahari za nchi zingine, je hizo nchi zina support vitendo vyao?
 
Bahari ya hindi yote hawatoweza, inabidi wa cross bahari za nchi zingine, je hizo nchi zina support vitendo vyao?
Tofauti na ndege za abiria za kisasa meli nyingi za mizigo huwa zinatambaa na ukanda ulio karibu na bara kwanza kwa ajili ya matumaini ya usalama zaidi wa safari na pili meli nyingi zinaunganisha bandari katika safari zao.
Kwa maeneo hayo ni lazima zipite karibu na maeneo ambayo makombora ya Houth yana uwezo wa kuzifikia.
 
And nchi zilizo closer na bahar husika zita kaa kimya zikiangalia conflict at front door? hii itakuwa massive international conflicts ambaya itawaumiza wao zaidi
watakaa kimya kama wanavyokaa kimya kuangalia watu wakiuliwa Gaza kwa mabomu na njaa.
Mpaka lini watu watakuwa wakikokotwa kwa ajili ya vita anavyopigana Marekani kuviita ni vita vya dunia yote.
Wapo ambao watapuuza kupambana na Houth kwa maslahi ya Israel na Marekani pamoja na washirika wao pekee.
 
We ali wazi usituletee upumbavu hapa.
Meli 73,wakati hazipiti huko.
Na hao wajinga wanatafutiwa dawa watalia sasa hivi.
We nenda kale urojo ukanye ndo kazi mnaweza.
Toa upuuzi hapa.
 
Back
Top Bottom